Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #61
Ahahahaaa.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Hii hiki kimfano ni cha kitoto lakini kina maana kubwa sana, sio rahisi kila mtu akakuelewa, umeni quote kwa haka kafumbo ngoja niishie hapa [emoji1787][emoji1787]
Kabisaaaaaaaaaaaaaaah
Nime maanisha ndani ya chama kweny kura za maoni, sijasema uchaguzi mkuu. Kuwa muelewa basiSiyo kweli kwamba mgombea urais wa JMT atakuwa JPM peke Yake. Kuna Lissu , membe na CDM mmesema mtashinda shida iko wapi?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
UmemalizaaaaaaaaaaaaaaaaaahKama unaishi mkoa tofauti na ulikozawaliwa jaribu kumtuma mwanao akakae wiki mwezi mmoja aidha kwa wazazi au ndugu wa asili. Baada ya mwezi mtume mke wako amfuate mtoto.
Ukimwona mtoto kanenepa ujue mtoto ambaye ni wewe unapendwa dhahiri, akirudi amekonda ujue mtoto ambaye ni wewe haupendwi kwenu
Unamjua mrithi wake? Akiwa Lissu Hali ya upigaji itarudi kana ilivyokuwa?Ndiyo Magufuli ameziba mianya ya ulaji serikalini. Ni mipango na sera gani alizoziweka ambazo mrithi wake atazifuata na hali haitarudi kama ilivyokua?
Lissu anapigania utawala wa sheria kula mkosaji atawajibishwaUnamjua mrithi wake? Akiwa Lissu Hali ya upigaji itarudi kana ilivyokuwa?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hata Harmorapa ikiwezekanaUna maana hata Mpwa wetu Don Nalimison angemshinda Mwenyekiti?
Wenye hekima wamenielewaUmemalizaaaaaaaaaaaaaaaaaah
AminaYesu Kristo, muujiza wake wa kwanza Duniani ulikuwa ni kugeuza maji kuwa mvinyo na watu walikunywa na kufurahi. Hadi leo tunamkumbuka kwa tendo hilo.
Kabla hajaenda kuteswa na kuuwawa aliwaalika Mitume wake kwenye karamu ya mwisho.
Alitwaa mkate akaumega, akasali akasema twaeni mle wote, huu ndiyo mwili wangu utakaotolewa kwa ajili yenu. Vivyo hiyo baada ya kula akatatwaa kikombe akashukuru akasema twaeni munywe wote, hiki ni kikombe cha Damu yangu, damu ya agano jipya la milele itakayomwagika kwa ajili yenu kwa maondoleo ya dhambi na ufufuko wa mwili. FANYENI HIVI KWA KUNIKUMBUKA MIMI.
Katika sala ya Bwana Tunasali. Utupe leo mkate wetu wa kila siku.
Kwa maneno hayo utagundua kuwa Mwanadamu hitaji lake pekee la kumfanya amkumbuke Kiongozi wake ni kumfanya au kumwezesha apate chakula chake cha kila siku.
Makonda ameleta maendeleo makubwa mkoa wa DAR lakini pengine wanainchi wake wananjaa.
Hajaweza kuwaondolea njaa.
Watanzania hawajali maendeleo makubwa aliyoleta Rais Makufuli bali wanasikitika kukosa maisha ya kula na kusaza ya wakati wa Rais Kikwete.
Huenda Rais Kikwete akakumbukwa zaidi kwa sababu tu aliwaacha watu wakala na kusaza na akaifanya Serikali kuwa fukara.
Wewe ni m.pumbavu sana, mbona leo kuna wizi kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru, unaweza kutuambia TZS 1.5 Trilioni ziko wapi.Unajaribu kuwa influence watanzania nn juu ya bandiko lako. Wenye akili zao wanakuelewa unachojaribu ku hadaa.
Maisha mliyokuwa mnaishi mwanzo kabla ya Maguful ndiyo mmeyamiss, maisha ya wizi serikalin, maisha ya kufanya anasa kwa kuwa pa kuchotea kupo wazi.
Msiteseke namna hyo, fanyen kaz mpate fedha za kula maisha kihalali, mtateseka mpka lini?
Upo nchi ya nje ya Burundi, unafanya nini huko.Acha kumlinganisha Rais wa Africa na watu wasio eleweka. Mimi nipo nchi za nje kote huku wanamzungumzia Magufuli tu. Ni nyie vilaza wa mitandaoni ndio mnakebehi Rais wetu wa Africa.
Basi sawa! Kwa hiyo Membe atashinda?Hilo hata yeye uncle analijua, ndo maana akazuia kusiwe na mgombea mwingine.
Sipo ktk chama chochote, ila binafsi simpendi Magu na makonda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], jamaniiiiii wajumbe wa CCM kigamboni wamejua kunifurahisha khaaaaahBasi sawa! Kwa hiyo Membe atashinda?
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.