KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Huenda una mtindio wa akili, maanake uliyoandika hapa hayana maana yoyote.Acha kumlinganisha Rais wa Africa na watu wasio eleweka. Mimi nipo nchi za nje kote huku wanamzungumzia Magufuli tu.
Tatizo huwa hutembei upo upo kishabiki tu. Kwenda kuleeeeeeeeeeeeeHuenda una mtindio wa akili, maanake uliyoandika hapa hayana maana yoyote.
Magufuli ni nani anayemjua nchi za nje?
Kama kutembea ni kama huko ulikokufanya wewe, mimi sioni haja hata kidogo ya kutembea halafu matokeo yake yanakuwa kuonekana kuwa mjinga.Tatizo huwa hutembei upo upo kishabiki tu. Kwenda kuleeeeeeeeeeeee
Tatizo lako wewe ni kilaza wa kutupwa kabisa.Kama kutembea ni kama huko ulikokufanya wewe, mimi sioni haja hata kidogo ya kutembea halafu matokeo yake yanakuwa kuonekana kuwa mjinga.
Aisee . . . sina la kusema kwa sasaKama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
hahahaaaa . . . eti zinapaki tu airportMaisha yale ya mzunguko wa pesa mtaani na Maisha ya Kununua ndege ambazo zinapaki tu Airport bora nini?
Wanaompimga si wangepiga kura ya nooo?Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Kama wakifanya hivyo,Jimbo wanachukua wapinzani,Tena ccm wenyeww watapiga kura za chuki,hata jpm alishawahi kusema wakifanya makosa kutowapa wananchi chaguo Lao,kitakachotokea wanakijuaMkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
Uchaguzi mkuu ni kipimo cha kujua kati ya wagombea na wapiga kura nani mjinga .Sandali Ali,
Ya Makonda ni ya Makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima Magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.
Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
unasema angesimamishwa na mtu????Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Utakaaje kwenye picha bila "tabasamu", au huelewi kusoma picha?Acha dhana potofu,Kinana alipokea msamaha wa chama kwa tabasamu kama lote,mda hauniruhusu kuandika acha kwanza nijiset
Hata mimi nimeona videos zake ila sijaweza kutuma nope.Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Daud Bashite kamwaga mapesa mengi KigamboniSema na hizo kura 122 jamaa atakua aliwatembezea pesa balaa.
watu mnamchukulia chuma poa Msukuma hapendi dharau yule na bashite alichomfanyia ni dharau baba ako anakwambia leo usiende kucheza lisha mifugo haijapita hata masaa unaenda kucheza ukiacha mifugo inashinda njaa alafu akuonee huruma labda sio mzee wa kisukumua Bashite safari yake ya kisiasa imeishia hapaNa hizo kura alizopata siyo ajabu ndo zikampa back up kubwa ya kurudishwa kwa jina lake. Alipaswa kupata kura 1 au zero kabisa. Hapo ingekua ngumu kwa Kamati Kuu kurudisha jina lake, maana ingeonekana amekataliwa kabisa na wanakigamboni.
Angalau wewe Una akili makonda anapita kW staili hyoMkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
Pesa ni sabuni ya roho Nadhani umeelewaUko sahihi, margin haikuwa kubwa sana kama mtu ambavyo angelitgemea. Haikuwa mbaya sana! Kwangu mimi bado Kigamboni kuna "takataka" za watu maana haikupashwa kupata kura hizo Makonda!
Utampimaje wakati anayeenda kutangaza matokeo kamteua yeye? Ushasahau ya Jecha kule Zenji? Athubutu kuweka tume huru ya uchaguzi aone kilichomnyoa kanga manyoyaSandali Ali,
Ya Makonda ni ya Makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima Magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.
Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
Wame peleka hasira zao kwa kumuonyesha kwamba wale alio wanunua na kulazimisha wapeperushe bendera yao Ccm bila kupingwa na dola ihakikishe wana shinda. Sasa wenye chama wamemuonyesha alikosea..Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.