Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Si salama kusomesha mtoto bongo tena. Ukiweza kujipiga peleka Kenya.Mkuu ninasikitika kusema sio tu yalikuwa mepesi bali wanafunzi walikuwa wanasaidiwa na wasimamizi na kurusiwa kusaidiana.
Nina wanafunzi kadhaa wamekiri hili
Kinacholeta shida ni posho wanazojigawia huko nje na trip za abroadHivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?
Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?
Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Nyerere mwenyewe alikiri hadharani kwamba kuna mambo mazuri alifanya na pia alifanya ya kijinga ,akasisitiza yale mazuri wayafate na mabaya wayaache ,kwahiyo kusema mabaya ya nyerere siyo kosa(Hata mwenyewe alijua kuna mabaya aliyafanya).
Kwenye Muungano wazanzibar mpaka leo wanalia.
... hilo kubwajinga hazijawahi kumtosha.Hivi mruma si wa dini yenu bigshow? Maana anaitwa hamis abdukarim mruma au majina wamekosea?
Prof alikuwa ni witness. Tatizo pale haikuwa lugha bali ni vifungu vya mkataba ndivyo vilikaa vibaya. Kumbukeni tuliwanyang'aya lesini bila kufuata taratibu za mkataba baina yetu.Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Una mawazo ya hovyo sana.Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .
Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.
Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Per diems...Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Ukute shule za Zenji safari hii wamepasua wakati miaka yote ni vilaza!Kawekwa mmoja pale NECTA kila mtu kafaulu,fainali Chuo kikuu au miaka 10 ijayo
Wamepasua mno yaani kila mtu kafaulu mwaka huu, atayefeli mjinga peke yakeUkute shule za Zenji safari hii wamepasua wakati miaka yote ni vilaza!
Sema kweli Mkuu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wamepasua mno yaani kila mtu kafaulu mwaka huu, atayefeli mjinga peke yake
Mwenyekiti wa Waganga wa Mkoa wa Pwani na Tanga!@Mshana JrAkina Mshana jr [emoji23]
Hii nchi inefeli kwasababu watu wengi walioshika nyadhifa za juu akili zao ni kama hizi, CCM imejaa maboga matupu yasiyofaa kupeleka popote, mtu kama Professor Mkumbo utasema kuna akili mule?
Wale waliokua hawaoni tatizo la kuongozwa na mtu asiyekuwa na elimu "halisi" ya kutosha, nadhani watakuwa wamejifunza hapa. Kama huyu ndiye alieonekana kuwa mtaalamu mbele ya SHH na jopo lake, yeye SHH yupoje? Hako kalikompiga KO Prof Mruma ni chini ya miaka 30.
Magufuli aligundua kuwa CCM imejaa maboga yasiyoweza kumsaidia lolote ndiomaana alianza kuiba vijana wenye elimu nje ya CCM na kuwaingiza kwenye mfumo.
Nchi ya kipumbavu kabisa hii.
Mruma ni yule Geologist.Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?
Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?
Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Achana na huyo mpuuzi. Mruma ni Muislamu.Sasa kanisa linaingiaje hapa mate?Wengine sisi ni wa kanisa ila pia tunaona Mruma kafanya madudu. Kanisa has nothing to do with madudu ya mtu.
Mruma ni mkristo, sema anatumia tu jina la Abdu.Achana na huyo mpuuzi. Mruma ni Muislamu.
Bado DP World najua siku ikifika utakua humu humu usije ukabadirisha ID tuHueleweki. Na wewe ni mwanafunzi wake?
Sasa tunaposema Watanzania walio wengi "wanasomea ujinga" ulikuwa hutuelewi?