Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Kinacholeta shida ni posho wanazojigawia huko nje na trip za abroad
 
Nyerere mwenyewe alikiri hadharani kwamba kuna mambo mazuri alifanya na pia alifanya ya kijinga ,akasisitiza yale mazuri wayafate na mabaya wayaache ,kwahiyo kusema mabaya ya nyerere siyo kosa(Hata mwenyewe alijua kuna mabaya aliyafanya).

Kwenye Muungano wazanzibar mpaka leo wanalia.

Nyerere alikuwa ni binadamu kama walivyo binadamu wengine hivyo nae alifanya makosa ambayo wengine hawakuyafurahia na ilibidi waseme!! Nyerere was of flesh and blood. ; msimfanye kuwa alikuwa immortal na hata mwenyewe asingependelea hivyo.
 
Kuna siku itakuja tutaambiwa mnaweza kula na kulala tu. Your petties to be kept in cage like baboon.
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Prof alikuwa ni witness. Tatizo pale haikuwa lugha bali ni vifungu vya mkataba ndivyo vilikaa vibaya. Kumbukeni tuliwanyang'aya lesini bila kufuata taratibu za mkataba baina yetu.
Ukifanya kitu kibabe mahakamani huwa ni maumivu tu. Maneno hubaki kinywani
 
Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .

Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.


Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Una mawazo ya hovyo sana.

Kumbuka kukosea kwake taifa inalipa gharama kubwa. Tena billions
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Per diems...
 
Hii nchi inefeli kwasababu watu wengi walioshika nyadhifa za juu akili zao ni kama hizi, CCM imejaa maboga matupu yasiyofaa kupeleka popote, mtu kama Professor Mkumbo utasema kuna akili mule?

Wale waliokua hawaoni tatizo la kuongozwa na mtu asiyekuwa na elimu "halisi" ya kutosha, nadhani watakuwa wamejifunza hapa. Kama huyu ndiye alieonekana kuwa mtaalamu mbele ya SHH na jopo lake, yeye SHH yupoje? Hako kalikompiga KO Prof Mruma ni chini ya miaka 30.

Magufuli aligundua kuwa CCM imejaa maboga yasiyoweza kumsaidia lolote ndiomaana alianza kuiba vijana wenye elimu nje ya CCM na kuwaingiza kwenye mfumo.

Nchi ya kipumbavu kabisa hii.

Nepotism imeua uwezo wa hii nchi kuendelea.
 
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Mruma ni yule Geologist.
 
Afadhalii huyuu mzee kaishia kusema hakuwepoo mikataba ya ovyoo kama huo inaposianiwaa sasa mwaka 2050 atakaeenda kuvunja mkataba wa DP WORLD ataulizwa MACHIZI WALIOSANI HUU UPUUZI WAKO HAI BADO???? Maana vifungu vyake ni kichaa peke yake anaeweza kusainii
 
Back
Top Bottom