Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Wajinga ndiyo waliwao.Mgongolwa alikuwa anawadangany utopolo ili ale pesa yao
Sio unatabiri kuondoka lazima aondoke. Aliondoka Gatuso AC Milani aliyekuwa ana vua sembuse Wakili Msomi.Natabiri huyo mvua nguo bongo hana msimu mmoja mbele tutamsahau,save the date&mark my words,figisu Pro Max zitamuandama,ndio atajua hajui[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama huyu kidoti hapa alivyokuwa anawaaminisha nyani wa pori la Utopolo ujinga ujinga wake.1. Maulid Kitenge ( EFM )
2. Yusuf Mkule ( Wasafi FM )
3. Paul Mkai ( alipokuwa Magic FM )...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]CAS nayo ipo kishabiki tu! wote ni Simba hao[emoji1][emoji1][emoji1]
Ashafungwa mdomoItamsaidia sana kupunguza ndambi,kiongozi gani unakua na ndambi kubwa kuliko akili.
Watu wanazeeka vibaya aiseeNi aibu kubwa sana kwa club kubwa kama Yanga kuongozwa na mlevi wa mataputapuView attachment 2020730
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app