Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Kwahiyo Hersi anasepa kweli?🥹
 
Mahakama na Mpira? Tusije tukafungiwa.

Lakini pia kila siku tunachangia hapa kufuata sheria na naunga mkono sheria zifuatwe.

Ila sema hao wazee ni kama wanga vile , wananchi tumeshazoea furaha wao togwa wanatia nzi.
Mkuu RITA waliitwa wakatoa ushahidi wao wanatambua katiba ya 2010 sio 2020 😂😂😂 kama hata RITA hawatambui sawa 😂😂
 
Taarifa toka saa 8 ziko mtaani jamaa wamejaribu sana kuizima ila Mwamba EDO KUMWEMBE akajibika mabomu wengine wakafuata includeing Millard Ayo na wengine
Mbona unaifurahia sana hii taarifa yote hii ni furaha ya Eng Hersi aondoke na wasaidizi ake ili simba mpate nafasi ? Au kuna kingine.?
 
Umeandika ujinga
 
changaml5
 
Rufaa itakatwa tu hatoko mtu hao ni. Wahuni hizi ni propaganda tu mahakama hairuhusiwi kuingilia mpira kwanza
Kama mahakama hairuhusiwi kuingilia mpira , Hao mawakilI wa "Yanga haramu" walitakiwa waweke pingamizi la awali kuwa mahakama haina mamlaka, kama imesikiliza means ina mamlaka.

Kwa akili zako za kuiba mitihani, unataka kusema hakuna kesi zinazohusu timu zilizopo mahakamani.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…