Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Mbumbumbu mnashindwa kutegua hii code [emoji28]
Huu ni mpango tu Eng Hersi Said Bado yupo sana Yanga
Wee nae unahaha na wasio husika, pambana na wazee wenu waliofungua Case khaaaah
Poleeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee nae unahaha na wasio husika, pambana na wazee wenu waliofungua Case khaaaah
Poleeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 Mbumbumbu mshaingia kwenye huu mtego.
Hapo hamna kesi,
Ila Eng Hersi Ana akili sana.
Tukiwapiga 8 tarehe 8 mtakuja kulaumu waamzi tena😅
 
Andika Kiswahili, Kingereza hukijuwi, Kingereza chako kinatia kinyaa .
 
Hao wazee, mawakili wao na yeyote aliyehusika kushauri au hata anyeonesha kufurahia uamuzi wa mahakama wakamatwe wapigwe kama ngoma mpaka wakiambiwa waseme ubwabwa wanasema wawa.

Cc
wasiojulikana
Rudisheni timu ya wazee, mmeteka timu, mmebebeba machawa kibao badala ya kuiimba timu mnaimba jina la mfanya biashara
 
Mimi binafsi nilihama Yanga sc mara baada ya kuona timu imeporwa kutoka kwenye mikono ya wazee wetu. Waasisi wa hii timu hawana tena thamani.

Naunga mkono huu uamuzi, Hersi Said na Ghaleeb watupishe hii sio timu ya familia ya kisomali na kiarabu.

Yanga Afrika ni timu ya waafrika.
 
Kalio huwa linakuwasha bila kuitaja Simba
 
Niwe muwazi tu Yanga kuna migogoro mikubwa sana ni vile tu hamuisikii kwenye media. GSM kapora haki zote za wanayanga.

Yaani wazee wa Yanga ni wa kupewa Supu na chapati mbili na buku mbilimbili za nauli ya daladala??

TUNATAKA YANGA YETU
 
KULWA NA DOTO ZA HAPA BONGO MAMBO YAO NI YALE YALE, AKIUMWA HUYU MWINGINE ANAPONA, ITAENDA WEE KIDOGO HUYU ATAANZA KUUMWA NA MWINGINE ATAPONA
kwa style hio mpira utaendelea bongo?🚮
 
Nifah hukuwahi kuliona hili mamii? Maoni yako yakoje juu ya hii case?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…