Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Sio mtihani, hili tatizo hukuzwa na wamama.
Hata humu ukiangalia watetezi wengi ni wanawake

Mashoga wote kampani yao ni wanawake

Hakuna Baba anaweza vumilia kuona mtoto wake ni shoga.
Wanaowaingilia hao wanaume wenzao na (Kuwalawiti)ni WAMAMA? Si ni nyie WANAUME ndio mnaowaharibu wanaume wenzenu?

Nyie Wanaume ni viumbe wa ajabu.. haijawahi tokea Duniani
 

Ndo mana nasema jf bila DEGREE HI HOVYO

ONA HUU MWANDIKO
 
Kuna wale Mashoga wanaojinadi hadharani akina James Delicious, Juma Lokole na somebody Kumbuka nao wapimwe vinyeo vyao, kama havina marinda wafungwe haraka sana. Maana hao ndiyo kichocheo kikubwa cha huu Umaajinuni...
 
This is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Khaaa yaan mwanaume unashabikia ushoga,imagine baba zetu wangekua hivo si ajabu leo usingekuwepo hapa.Ni vitendo ambavyo havikubaliki na wanaofanya lazma wabughudhiwe.Mnataka kutuletea taifa lenye nguvu kazi gani.?Nendeni Mkaishi Marekani
 
Ukiona umekamatwa na kwenda kufanyiwa vipimo ujue kuwa una chembe chembe za hayo mambo haiwezekani wewe upo njema ukakamatwa na kwenda kufanyiwa vipimo haiwezekani


Hawa jamaa ni kero acha wachukuliwe hatua kuhusu ripoti ya CAG yote hayo kero acha waanze na hilo la USHOGA alaf la CAG linafata hakuna tunacho kihitaji hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…