🤣Wananchi wa Arusha wampongeza mwenyekiti.mstaafu wa UVCCM mikoani jump Dr Ole Sabaya kea mafanikio anayopata dhidi ya Kesi zinazomkabili.
Wananchi wamedai kuishinda serikali mahakamani bila DPP kuingilia kati kwa kutokuwa.na nia ya Kesi siyo jambo dogo
Kwa sasa Ole Sabaya ameokoka
huyu Mbwa ana safari ndefu sana, wale Ma don wote aliokuwa against nao ndo sasa wamerudi ku- lead the horse...Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Mbowe angekuwa na akili hiyo asingetoka na kukimbilia ikulu siku hiyohiyo!HahhA... Samia ilibidi awaite viongozi wa Dini Ikulu wamuombee mbowe msamaha baada ya Chadema kumshambulia Zito na kusema hawataki msamaha..
Ila nampongeza maana aliamua kuweka pride pembeni na kumuachia
Kwa Sabaya sina uhakika kama ni lobbying inafanyika ama ni kulialia kwa wale wamama waliojiita ndugu zake ndio imefanya kazi ama ni ushahidi kweli hautoshi
Ila cha muhimu ni kuwa yule hayawani aliyekuwa anamtuma keshalamba mchanga na amejuta
Umebadili lughaMpuuzi mkubwa wewe
Atakuwa amejifunza mwaka mzima yupo ndani na ubabe wake wote
Hata baada kushinda rufaa kwenye kesi ya kwanza mlisema hivi hivi.Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
[emoji23][emoji1787]Huyu mbwa siyo wa kumuandika andika ovyo! waache wamuachie huru tumle tigo! mtaani. Narudia tena Mleteni sabaya mtoto mzuri!
Kwahiyo walijua kwamba leo wamasai watapambana na polisi ndio maana wakapanga kesi iwe tarehe 10?Tulia tunywe mtori nyama tutazikuta huko huko.. Hii drama ni ya kuzima timbwili la ngorongoroView attachment 2256364
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zakoMumeo Sabaya ataozea jela
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zakoLabda achomoke chooni lakini sio leo kizimbani
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zakoNa ni anawivu?
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zakoHuyu atakuwa wa kwanza kutumikia jela
Ngoja nikujibu kiungwana kabisa..Kwahiyo walijua kwamba leo wamasai watapambana na polisi ndio maana wakapanga kesi iwe tarehe 10?
Bavicha mna akili gani lkn?
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zakoBibilia inasema AMELAANIWA AMUABUDUYE MWANADAMU.
Hawa vijana walidhani wamfika mbinguni chini ya Mungu wao raisi ya malaika.
I hope anajutia mengi Sana
Sijaandika furaha niemeandika uhalisia.. Au basi tufanye sabaya yuko huru uraiani anakula mbege na kisusioKWAHIYO UNAFURAHI SANAAA MAANA ULIVYOANDIOKA UTAFIKIRI MTU ANAENDA BAR KUNYWA BIA
yaani bavicha kama nawaona mnavyoona aibu leoSijaandika furaha niemeandika uhalisia.. Au basi tufanye sabaya yuko huru uraiani anakula mbege na kisusio
Habari bila picha hainogi hebu tupia na picha ya kuona aibuyaani bavicha kama nawaona mnavyoona aibu leo
Kwa kesi gani? Kesi za kutumwa ni kesi??