Tanapol na intelligensia yao wameshindwa kumpata bashite haya ni maaajabu kama chadema wangewaza tu watakuw na kikao cha ndani tayar tanpol wangeishitokeza kitambo kukizuia
 
kama hapatikani unapeleka kwa mwajiri ama nyumbani kwake na hapo nyumbani kama hamna wa kupokea unabandika kwenye mlango wake.
Njia zote zikishindikana, sheria inasema inabidi litolewe tangazo la huo wito kwenye magazeti angalau mawili hadi matatu yanayo sambazwa nchi nzima, so hapo hamna cha ajabu.
  1. Asante sana kwa elimu hii wengi hatukuijua
  2. Vipi kuhusu tangazo linagharamiwa na nani
  3. Na jee haiezekani kutangaza kwenye vyombo vingine kama TV. radio na mbao za matangazo au tangazo likadhaminiwa kwenye matangazo ya mechi nk... kwamfano huenda mtuhumiwa akawa hajui kusoma gazeti akisikia tangazo kwenye runinga au redio ata respond
 
Mahakama ikitaka mchakato ufanyike kwa haraka na upesi ingepanda dau kwamba kwa yeyote atayesaidia taarifa za upatikanaji wake atazawadiwa kiasi fulani cha pesa

Hizo pesa zingelipwa na mshtakiwa mwenyewe, yaani kabla kesi haijaanza kusikilizwa anatakiwa atoe hicho kibunda kwanza
 
Mbona kama kuna jambo linachezwa hii taarifa ya mahakama kwanini hakuwataka polisi wamtafute ni apate taarifa tu kutoka gazetini kuhusu kesi iliyofunguliwa dhidi yake sasa hii haina mantiki yoyote anaweza ku-relux tu ata kama yuko huko Masaki, Imagine kama ni mtu tofuati na Makonda si Polisi wangeambiwa direct wamsake?
 
Jana mbona alikuwa morogoro na wapambe 4 hivi..hana wasiwasi
 
Sijaelewa hii kesi inayomfanya yule Mkuu wa mkoa kiboko wa wauza ngada mh Paulo Makonda aishi kidigidigi kama ni ya jinai au madai?

Ufafanuzi Tafadhali!
 
Kajificha ukweni Njiro, ila haya maisha haya.!!
 
Mkuu acha porojo Wewe,inabidi ifike mahali watu wote watii Sheria ,yaani unataka mama Samia amkingie kifua Makonda kwa makosa aliyojitakia!!?

Napenda Sana utawala wa sheria,au huenda umeandika hapa hujui maana ya rule of law? Utawala wa sheria kazi yake Ni kumwajibisha kila mtu anayevunja sheria za nchi,hivyo acha sheria ushughulike na watu wote wanaohisiwa kukiuka misingi ya utawala wa sheria.

Kama wewe ndo Makonda naomba ujitokeze ukajibu tuhuma zako popote pale ulipo!![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Polisi ni mtandao mpana sana, kwanini kama makonda ni ngumu kumpata kupokea wito, watumie arrest warant polisi imsake warrant mahali popote
 
Huyu jamaa ndio nilisikia amekimbia nchi kwa kutumia boda ya kenya ama sio huyu , kweli maisha hayana fomula , nakum,buka picha zake anapigiwa saluti na kina mambo saasa huku kavaa kikaputura kifupiii, yani laana hazijawahi kuwaacha watu salama. Malipo ni hapa hapa kabla hujaingia kaburini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…