na hiyo njia ikishindikana ?
 
upuuzi mwengine huu!!!
watu wengine hawana majukumu ya kufanya, au wana muda wa kuchezea.
eti unamshitaki makonda na serikali!!
huyo mlalamikaji ndio nani? ujinga kabisa huu
 
Mahakamani hakunaga ujinga mzee

Kama ameitwa si aende tu akawaweke sawa huko wasi wasi wa nini?wakati yeye anajua ni msafi

Ova
Anashindwa kwenda sababu ya jina, mkienda KOLOMIJE mkamtafuta Paul makonda hawamjui, inabidi muuliza Daudi Bashite, na hati inasema Makonda.
 
watu tunawaza jinsi ya kuanzisha Anwani za Makaazi.....nyie mnatuletea upuuzi huuu.
 
Watangaze zawadi atafika usiku wa manane hapo mahakamani kabla ya kesi yupo jirani na hapa nilipo.
 
Makonda Yuko Morogoro, Jana alikuwa anakodi jengo lililokuwa limekodiwa na crdb Bank Morogoro karibu na CINE CINEMA building, Kuna mafundi wake pale, Dodoma anafanya kazi ya dry clear, ametega suti za wanene azifue
 
Chochea kuni chochea kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…