Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Vipi ikiwa hiyo mali isiyo ya pamoja uliitafuta mkiwa ndoani?
 
Unajuaje kama haya hayakufanyika
 
Mlikuwa mnazini tu hamna lolote...mnafanya romance mashine inasimama kabisa ila mnaachia hewani mbinguni mngeingilia dirishani labda au mngeruka ukuta
 
pumbu imebeba mamishipa mengi sana ya uzalishaji na hisia, zikiondoka basi na mboo haina kaz tena. Ni kama injini.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Na kwanini kesi za aina hii zinakuwa wazi nafikiri kwa mila za kiafrika zingefanyika siri
 
Daah maisha bhana Mungu atusaidie ndugu zetu wengine wanapitia kwenye mtihani mkubwa sana kwa kweli sema ilitakiwa asioe ili asipate hiyo kadhia iliyopo kwa sasa...
 
Na kwanini kesi za aina hii zinakuwa wazi nafikiri kwa mila za kiafrika zingefanyika siri
ingeweza kufanyika siri lakini nadhani ni kwa sababu, mahakamani kila mtu anapambania kushinda kwa kile alichodhamiria mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…