Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rebeca anakaribia menopose sasa anataka mtoto kwa anayempelekea moto miaka yote hiyo.
So anataka kuhalalisha aachane na mechi za nje
 
Huyu Rebecca atuambie ni nani aliyekuwa anampelekea moto ndani ya hiyo miaka 21..na ni kwa nini hakuvunja ndoa early kabla mambo hayajawa mengi?..Hii dunia ina mikasa sana
Kwanini akutest mtambo toka awali kwanza?
Mimi Ni mzoefu nikikucheki tu hivi najua una korodani size gani? Huniuzii mbuzi kwa gunia never
 

Sasa alioa ili iweje? kama hawezi kutumia kiungo cha mwenzake inavyotakikana?
 
Miaka 20 plus alivumilia mbona ....au sasa ndo kamisi sana miti kazi
 
Ndoa ina miaka 21
Tendo la ndoa limekosekana katika kipindi cha miaka 19, hivyo ndani ya miaka miwili ya mwanzo kwichikwichi ilikuwepo.
Hii story nitakuwa wa mwisho kuamini kama ilivyoandikwa. Kuna mengi hayajaelezwa
 
Hakimu Mkazi, Mwinyiheri Kondo alisema Mahakama imevunja ndoa hiyo baada ya kuona wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa ambayo si ya kawaida.


Haya matendo ya ndoa ambayo si ya kawaida ni yapi au oral sex na dildo vilihusika?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™„
 
kwakweli mtihani sana..ndo mana kuna kuonjana jamani..[emoji48]
Sasa miaka 21 Rebeca alikuwa anaishi vipi? Huko chini kunakunywa uji?
Labda tukuulize wewe mwanamke mwenzake maana wapo wenzio husema hata miaka mia wasipoguswa hawana shida.

Haya mwenzenu huyo hapo miaka ishirini tu kabwaga manyanga.
 
Hii mahakama ya Buguruni ni mabingwa wa haya maswala ya kuvunja ndoa.Nakumbuka kama wiki kadhaa kuna wanandoa wao walikuwa hakupata watoto wakaamua kuchana.ni Buguruni hapo hapo

Mungu atusaidie,Kiungo cha ndoa ni tendo la Ndoa lenyewe.inawezekana kuna ndoa nyingi zilishavunjika kimantiki tayari lakini wanandoa bado wanaishi pamoja.Tuache mzaha kwenye haya mambo ya ndoa.Kama huna uwezo wa tendo la ndoa endelea kufanya mambo mengine usiingie kwenye ndoa.Hapa hata wanaweke wapo wasio na uwezo wa tendo la ndoa pia.Yaani anakuwaga anafanya tendo la ndoa kama anabakwa tuu.Sababu wanaume wengi wanapenda kuficha siri za udhaifu wa wake zao.Toka January mpaka December mke anakwambia amechoka.na ukimchunguza wala hata hafanyi uzinzi,ila hana network
 
Aisee kweli mwanaume mashine, ndo mana wanawake wanasema nimekuja kwako sio kufuata kula bali mashine
 
Mapenzi ya bila puumbu sijui yakoje duuuh
Ila si mdudu yupo au?
Mdudu yupo pumbu ndo hakuna nijuavyo mm kazi ya pumbu nikuzalisha mbegu za uzazi Sasa km pumbu hakuna huenda jamaa alikua hamweshi uji huyu bidada kule chini maana mbegu zazizakishwi huenda jamaa alikua anaoiga miti bila kumwaga (kuchoka) rejea mapenzi ya utotoni kidudu kikisimama kimesimama mpk uache mwenyewe.

Hali hiyo yakupelekewa Moto mtakatifu itakua mwanamke mwanzoni aliifurahia ndo maana akawa mvumilivu,

Mwanamke kachoka kaona Sasa kunafaida gani kupingwa miti daily for nothing bila hata kuhisi kichefuchefu walau siku moja!

Happy Easter in advance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…