Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Conspiracy in business esp. managing business in emerging markets, there are different ways of changing markets, production points, what if Dangote is going somewhere else to invest,? Business chaos/conflicts can also be created for a good, think deep. you https://jamii.app/JFUserGuide me, then I https://jamii.app/JFUserGuide you harder at last. Awamu ya 5 be careful oooh ogah ogah. Be careful with trans-national ana mult- national business companies
 
Bila shaka hao wahindi wa NSK wakishirikiana na bank ya standard chartered, wanataka mali za kampuni ya Dangote ziuzwe ili wakinunue wao. Ni moja ya strategy wanapenda kutumia ili kupunguza ushindani kwenye soko.
Kwani Dangote angelina kwa wakati kama alivyo kubaliana kiwanda kingefungwaje?

Hapo msiwachafue watu kea shida za Dangote.
 
Mzava komefungwa hapana sitaki kuamini
 
Ukweli siku zote unachelewa , lakini kwa regime hii ya uwongo uwongo na uzandiki hakuna kitakachofichwa tusikijue.

Soon tutasikia, Mwekezaji alikuwa akiikosesha 'serekale' mapato , huku wakiwa wamekaza shingo.!
Itakuwa kama STAMICO yamebaki magofu tu
 
Hapa 'likes' zitapungua sana!
 
Tulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshindaView attachment 1640919

Ki- English inaonekana kina mpiga Chenga mleta mada, kwenye hayo maandishi hakuna mahali inapoonyesha kwamba Dangote Cement wanafungasha virago au wana nia hiyo, bali wao wanapinga hiyo winding up order inayo ombwa na Mdeni wao NSK oil .
 
Ki- English inaonekana kina mpiga Chenga mleta made, kwenye hayo maandishi hakuna mahali inapoonyesha kwamba Dangote Cement wanafungasha virago au wana nia hiyo, bali wao wanapinga hiyo winding up order inayo ombwa na Mdeni wa NSK oil .
Mleta mada ni moja watu ambao akili zao amekimbia nazo Lisu kwenda kwa Amsterdam
 
hakuna mkono wa makaburu kweli hapa maana wakaburu bifu za kibiashara wanaziweza saana ili kumiliki soko
 

Acha uongo, dawa ya COVID-19 imeshapatika na chanjo pia.
 
Dangote hawez kushindwa kulipa hio $2m nadhan ni mchongo unachezwa hapa atuachie manyoya bila bugudha
 
Hii NSK kwa nini inakimbilia winding up
Shortsightedness. Dangote employs a lot of people directly and indirectly.
Dangote pays a lot of taxes directly and indirectly.
Which judge in his right mind, without being influenced by stupid people will close such an egg laying goose?
 
Mkuu mashabiki wa chadema ni moja ya majanga tuliyonayo hapa nchini.

Ni wapumbavu sijapata kuona.
 
Mzee.
Angalia muktadha wa hoja kisha unachangia kwa mtiririko unaoibua hoja au kujibu hoja.

Hii ya kwako anzisha thread mpya tukuwekee facts namna wapinzani wanavyotumika kuwaumiza investors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…