Hii nchi ina siasa za hovyo.Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Huyo DJ ndio kashikilia remote, kama humjui basi huwajui covid 19 pia.
Mbowe analamba asali kwa sasa, hawezi kujiondoa katu.Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Tuwekee hapa hiyo memo Evarist Chahali . Mbona unakuwa mwoga wakati wewe ni ngangari??Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Mbowe analamba asali kwa sasa, hawezi kujiondoa katu.
Naungana na wewe mkuu. Huyu mama anachokifanya ni kupunguza pressure za upinzani kwa kutoa matumaini na ahadi hewa.na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Amka kutoka usingizini acha kuota utajikojoleabritanicca mbona unaandika kama kwamba hii ni mara ya kwanza kwa mbunge/wabunge au wanachama influential wa CHADEMA kufukuzwa na chama lakini watawala wakang'ang'ana/wakakumbatia kwa mbinu hizi hizi za kimahakama hadi wakamaliza muda wao wa ubunge..?
Unajaribu kuwataka watu wamlaumu nani? Mwenyekiti Freeman Mbowe? Katibu John Mnyika?
Sikiliza bwana.
Hakuna cha wajinga ndiyo waliwao wala nini. The main issue hapa ni kuelewa tu namna ya kucheza siasa za hawa maCCM..
Kinachowabeba CHADEMA kwa miaka yote kuendelea kuishi na kuwa wapinzani wakuu na tishio la utawala wa CCM ni uongozi dhabiti wa CHADEMA chini ya mwamba Freeman Aikael Mbowe..!!
Huyu mwamba angekuwa ni mtu wa tamaa na njaa kali, kwa siasa za Bongo huu, CHADEMA ingeshakwenda iliko CUF na NCCR Mageuzi..!
Ukiweza kudhibiti michezo yao hawa maCCM, mtaenda nao sambamba tu na ndiyo maana sometimes huelemewa huishiwa mikakati halali ya kisiasa na huamua kutumia pyuuu pyuuu a.k.a bunduki kuua, kujeruhi, kuteka na kupoteza kama ilivyokuwa kwa TL...
Ndugu, hawa watu wako tayari kumtumia mwanachama yeyote wa CHADEMA na hasa akiwa mbunge na ana maslahi kwao na serikali yao kutumika kama nyundo 🔨🔨🔨 ya kuigongea CHADEMA, basi hata CHADEMA wafuate sheria na taratibu zote za kinidhamu za kichama, hawataweza kumfanya lolote...
Rejea sakata la Zito Zubeiry Ruyagwa Kabwe na wengine..
Kilichopo na kinachoweza kufanyika kwa sasa, ni CHADEMA kuendelea kucheza kimkakati zaidi kwa kuzielewa mbinu zote za adui yao...
Na kwa maoni yangu, wameweza na wameshawalemea vya kutosha na ndiyo maana wakati mwingine wana - opt kutumia nguvu kujaribu kuwadhibiti hawa CHADEMA ambayo nayo ni kama njia iliyokwisha shindwa spectacularly...
Jidanganye. Angekuwa kiongozi mwingine wa CHADEMA tayari nyumbu zingemtukana mno na kumwita msaliti kwa kuendelea kutafuta maridhiano. Ila kwasababu ndo mwenye chama wale vijana watukanaji wanashindwa la kufanya.Chama sio Cha Mbowe, chama ni Mali ya wanachama. Kati ya watu wanao ididimiza Chadema ni Mbowe. Wewe mtu kafukuzwa chama unahangaika kumtafutia kazi unaa maana gani?
Upo sahihi kabisa, pale ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.Naungana na wewe mkuu. Huyu mama anachokifanya ni kupunguza pressure za upinzani kwa kutoa matumaini na ahadi hewa.
Mwisho wa siku sote tukubaliane kwamba awamu ya 6 wanaongea Kama malaika na kutenda kama shetani.
Ila ndo mmiliki wa chama.Kikao Ni serikali na Chadema. Mbowe ni mshiriki.
Mimi nimejikita zaidi demokrasia na utawala wa sheria.Hakuna mtanzania wa kupigana kisa CHADEMA. Kama una hamu ya kupigana kalisaidie jeshi la DRC dhidi ya M23. Halafu kama mmiliki wa chama Mh. Mbowe hana noma na CCM wala Mama Samia iweje wewe kijakazi ujifanye una uchungu sana?
Mkuu 'denooJ', hii ndiyo nafasi/fursa nzuri kabisa kwa CHADEMA, hasa wale wasioamini uigizaji unaoendelea chini ya Samia huku akiimba nyimbo za maridhiano/maafikiano.
Utamjuaje mtu unayetafuta maridhiano naye kama siyo kwa mambo kama haya?
Acha Mbowe na wenzake wajionee ukweli wenyewe, halafu wajiridhishe kwamba watu wanaofanya nao maridhiano ni watu wa kuwaamini au hapana.
Acha CHADEMA wajiridhishe, halafu tuone watakavyoendelea na mchezo huu.
Mimi nimejikita zaidi demokrasia na utawala wa sheria.
Mdau uko kichama zaidi bila kujari wabunge haramu wanatumia kodi yako na yangu. Na ni ishara ya uovyo ngazi ya nchi.
CDM inaweza hata kufa lakin Taifa lipo tu. Onyesha bas unajari sheria, kanuni na taratibu bila kujari siasa za vyama. Usipende sana uovyo!
Hope una watoto. Unataka wawe na namna gani ya kufikiri na kutenda?
Wewe acha porojo kila kitu leo kinajulikana nani mratibu na nani msimamizi lakini mwisho wa yote kila jambo lina mwisho wake kama mmewafadhili ili mkopesheke shauri yenu,upumbavu huu kwa kweli mtaujutia ninyi ccm pamoja na hao covid 19.
Alaaa! Kumbe!! Basi sawa Jasusi britaniccaTuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Itunze vizuri comment hii ntaifufua 2024 OctoberAcha porojo please! Ni mjinga tu anayejifanya hajui ushenzi unaofanywa na Hawa washenzi. Na siku CHADEMA wakishinda mje muongee
Chadema ni mke wangu hawezi akanisumbua! 😀😀
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Hawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
..Nashauri Cdm wasusie hii kesi.
..Kuendelea nayo kunaipa uhalali.
..Ni kuendekeza upuuzi tu.