Wizara ya nishati ilifanya kazi vizuri chini ya Mhongo na kakemani, hawa wengine ni viazi tu.
 
Mkuu naona kila anaehoji utendaji wa Maharage unamuona kama hajafikiria vizuri. Okay, tuchukulie kwamba sisi tunaosema hajaifanyia kitu cha maana TANESCO, wewe unaweza kutueleza ni lipi la maana alilofanya hapo TANESCO..?

Ama unasukumwa na hisia tu.
 
Afadhali kirusi kimetoka TANESCO!
Hakuna Kirusi chochote Pale Tanesco zaidi ya wana ccM wenye nguvu,na walafi waliokita mizizi yako.Hapo kutakaa sawa siku Ccm ikitoka Madarakani.Mafisadi Makubwa ya Ccm ya enzi na enzi huwa yamejificha kwenye Taasisi nyeti kama hii ya Umeme mana wanajua huko kuna ulaji wa Maishaa.
 
Muhongo na umeme wa Zero tarrif, unapata units 75 Kwa Elfu tisa tu.

Muhongo alitisha sana.



Huyo alotuongooea kusema Tanzania itaanza kuuza Umeme nje ya nchi wakati ni ndoto ya alinacha!
 
Tatizo la Tanesco linajulikana mkuu, issue siyo watendaji.. issue ni vyanzo vya kueleweka vya kuzalisha umeme.
 
Mkuu naona kila anaehoji utendaji wa Maharage unamuona kama hajafikiria vizuri. Okay, tuchukulie kwamba sisi tunaosema hajaifanyia kitu cha maana TANESCO, wewe unaweza kutueleza ni lipi la maana alilofanya hapo TANESCO..?

Ama unasukumwa na hisia tu.
Bila kusigana nawe nakubali ndo mazoea yetu kuwa tukiulizwa swali badala ya kujibu nasi huwa tunauliza .......mimi nimeomba tutajiwe hujuma,ubadhirifu na alichoshindwa Maharage ili kukazia tuhuma zetu kwake
Pia ieleweke hakuna aliehoji hata mmoja kuhusu utendaji wake ila wengi wanatoa shutuma bila kueleza tuhuma kiasi nikiongozwa na hizo
ulizosema hisia zangu naona si sawa
 
Naona ziara ya mtwara kwa mama ilikuwa na lengo la kufyeka watu
 
Biteko kapewa jumba bovu litamuangukia tu na kumchafua. Ukweli ni kwamba bongo haizalishi umeme wa kutosha kukidhi mahitaji, hata waziri akiwa malaika toka mbinguni kama vyanzo ni vile vile mgao utaendelea tu.
 
Naona sasa rasmi Salim Kikeke anaingia kwenye nafasi ya Gerson Msigwa
 
Tulisema ni vigumu shamba boy (Dotto) Naibu Waziri Mkuu akae na Mtoto wa Mjini (Maharage). Ilikuwa lazima mmoja apishe na Kwa mazingira ya Sasa , Mtoto wa Mjini alikuwa lazimaa aende. TAIFA linapangwa upya
Ni kweli. Huwezi kuweka divai mpya ndani ya kasiki lililochakaa. Ikianza kuumuka kasiki litapasuka.
 
Ukizoea kushinda na njaa, siku ukipata mlo mmoja unashukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…