Ni UDINI tu. MTU amehalibu sehemu A anapelekwa sehemu B kuendelea kuhalibu tu.
Mm nataka umeme sio kuona kiza tu bandani kwangu.
 
Umeongea jambo la maana mkuu, watanzania tunashindwa kutambua chanzo cha tatizo la umeme kukatika badala yake Tunajikuta tunadili na Maharage..tumekuwa washabiki wa hovyo mnoo.
Aiseee ndugu yangu, naona kweli matatizo mengine Tz sio mtu, ila ni mifumo mibovu tuliyojiwekea na mambo kuendeshwa kisiasa zaidi, kuliko kuendeshwa kiutaalamu na kufuata abc's za kiuchumi..... endeleeni kula mtori, na nyama mtazikuta chini.....
 
Huyo Maharage ndo alisababisha umeme uwe unakatika a?
Nini kilitokea hapo katikati kilichopelekea mabadiliko hasi baada ya Kalemani na wenzake kutolewa wizarani na kwenye shirika la TANESCO respectively?

Kwanini ni baada ya Makamba na Maragwe kuingia ndio mambo yakaanza kwenda kombo tofauti na yalivyokuwa kwa miaka mitano nyuma (awamu ya tano)..?


Jibu ni kwamba, rasilimali watu ndio tatizo hapo TANESCO, hizi nyingine ni mbwembwe tu kutaka kuwatetea.
 
Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Hii nimeipenda pia, wajeda kidogo wana nidhamu
 
Si ametoka kulamba tuzo majuzi hapa ya transformational leadership kwenye mashirika ya umma. Tanzania bana 😁😁😁

 
Huu ndio mfumo wa maccm, kulindana kwa hali na mali.
 
Habari wakuu? Ivi hapo kwenye Uteuzi wa Dr. Stephen Isaac Mwakajumilo imekaaje hii? Maana Dr Stephen ni mwenyekiti wa Chama Mkoa wa Mbeya! Na Sasa ameteuliwa kuwa DC tena.
 
Kazi maalumu!
 
Awesome mambo ya telecommunication na Ana utaalam huo
Ngoja tuone ata perform vp

Ova
 
Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Kenyatta aliona mbali..siku ya mazishi alimuonya huyo mama kuwa tembelea njia hii hii aliyochonga jamaa..mother akaanza kuchonga njia yake kwa kiburi na majivuno..imeishia bondeni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo TTCL ndo imepelekewa mtu incompétent. Yaani mtu kaharibu Tanesco anapelekwa kuwa mkurugenzi shirika lingine.Samia kweli anatuchezea akili.Sema na sisi sijui namna gani vipi.Maana tatizo la umeme tu,lazima tungeandamana.
Ni mtaalam wa mambo ya telecomuication Vicky

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…