Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo
Kelele za miaka 2 ni kukurupuka?
Sio wote mliompigia kelele mlikuwa mnalalamikia utendaji, wengine walikuwa kwny fitna zao za mitandao ya Urais, wengine kupoteza kandarasi n.k

pengine hata kilichowatoa sio tunachofikiria …kuna mambo mengi sana kwny Serikali na kama hujawahi kuwa na uelewa huwezi elewa

kuna watu wamesha na wanaendelea kundolewa maeneo yao kazi kwa kuwa waliingia na kukata mirija ya watu nao wakafanyiwa counter attacks kwa watu kuweka working tools chini kimtindo

kuna Port Manager pale TPA wakati wa Othman Janguo aliwahi kupigwa Mgomo baridi hadi fork lift ikatoswa baharini kwa kuwa alikuwa Mtu kazi na sisi hatupendi kazi na matokeo yake akabutuliwa

Kina January na Maharage wanaweza kuwa walikuwa wabadhirifu, au utendaji wa chini ya kiwango au pia fitna zilizidi uwezo wao kuzikabili wakapigwa hujuma

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Kumtoa Ulanga TTCL ni kama kutaka kujaribu kuliua tena hilo shirika...

Ulanga naamini alikuwa mtu mwenye upeo sahihi wa kuihuisha TTCL baada ya Kindamba kulegalega...

TTCL ili ishindane na makampuni binafsi inahitaji mtu kichwa...
Kwa maana ya kushindana kwa ttcl na makampuni binafsi nahisi MC anafaa kwani aliwahi kuwa mtumishi mwandamizi pale Vodacom na pia ndio ubobezi wake ulipo haswa kwenye masuala ya telecom .....Mama amemuamini nasi tuwe na imani nae kuwa ataweza ukizingatia hilo shirika halina wahujumu wengi kulinganish na alipotoka
 
Ngoja tuone kama umeme hauta katika katika tena
𝐒𝐞𝐦𝐚 𝐭𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐮𝐭𝐞𝐧𝐝𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐨 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐬𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐤𝐰𝐚𝐨 𝐧𝐢 𝐬𝐚𝐰𝐚 𝐭𝐮𝐮. 𝐋𝐚𝐛𝐝𝐚🤫🤔 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐛𝐚𝐝𝐢𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐡𝐚𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐞𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐳𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐢𝐚 𝐯𝐲𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐟𝐚𝐬𝐢 𝐳𝐚𝐨
 
Sio wote mliompigia kelele mlikuwa mnalalamikia utendaji, wengine walikuwa kwny fitna zao za mitandao ya Urais, wengine kupoteza kandarasi n.k

pengine hata kilichowatoa sio tunachofikiria …kuna mambo mengi sana kwny Serikali na kama hujawahi kuwa na uelewa huwezi elewa

kuna watu wamesha na wanaendelea kundolewa maeneo yao kazi kwa kuwa waliingia na kukata mirija ya watu nao wakafanyiwa counter attacks kwa watu kuweka working tools chini kimtindo

kuna Port Manager pale TPA wakati wa Othman Janguo aliwahi kupigwa Mgomo baridi hadi fork lift ikatoswa baharini kwa kuwa alikuwa Mtu kazi na sisi hatupendi kazi na matokeo yake akatubuliwa

Kina January na Maharage wanaweza kuwa walikuwa wabadhirifu, au utendaji wa chini ya kiwango au pia fitna zilizidi uwezo wao kuzikabili wakapigwa hujuma

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Rais ana jicho kali kola mahali, anashindwaje kuyatambua haya au anakosa utashi wa kufanya mabadiliko?

Ninajua sana fitina za nchi hii lkn rais anapaswa kuwa mbele ya fitina zote kwani anaijua nchi vizuri.
Amekuwa Vp 5.5yrs anajua kila fitna
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:
  1. Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
  2. Amemteua Ndugu Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
    Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
    iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.
MAKATIBU TAWALA MKOA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Badala yake amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).
  2. Amemteua Ndugu Mohamed Jumanne Gombati kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Gombati alikuwa Mkurugenzi Msaidizi
    Sehemu ya Maafisa Waandamizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
WAKUU WA TAASISI
  1. Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Bw. Omar Issa ataendelea na majukumu mengine aliyopangiwa katika Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango.
  2. Amemteua Ndugu Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
    Anachukua nafasi ya Mhandisi Peter R. Ulanga ambaye atapangiwa kazi nyingine.
  3. Amemteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kabla ya uteuzi huu Ndugu Nyamo - Hanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
  4. Amemteua Dkt. Erasmus Fabian Kipesha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Kipesha alikuwa Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi (TEA).
WAKUU WA WILAYA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na badala yake amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
  2. Amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo atapangiwa kazi nyingine.
WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI (MA -DED)
  1. Amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo. Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine.
  2. Ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.
  3. Amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.
KATIBU TAWALA WILAYA
Amemteua Ndugu Francis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo. Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Katibu Mkuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wataapishwa siku ya Jumanne saa sita mchana Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2759138
View attachment 2759139
View attachment 2759157
Jamani wamkumbuke na Salim Kikeke, kuwa msemaji wa serikali ana fit
 
Maharage ameboronga TANESCO lakini bado anapewa ukurugenzi kwingine....ina maana hakuna wasomi wengine Tanzania hii wenye weledi!?.
Huu upuuzi huuwa unanifikirisha sana,sijui kuogopana sana. Nchi raia ml60 unakosa kusort watu makini waadrifu wapya....au Basi.
 
Rais ana jicho kali kola mahali, anashindwaje kuyatambua haya au anakosa utashi wa kufanya mabadiliko?

Ninajua sana fitina za nchi hii lkn rais anapaswa kuwa mbele ya fitina zote kwani anaijua nchi vizuri.
Amekuwa Vp 5.5yrs anajua kila fitna
Nyerere alikuwa Ikulu kwa 23 years tena wakati huo hapakuwa na mitandao ya wasaka vyeo kama leo lakini alikiri yapo maamuzi aliyofanya alikosea kwa kuingizwa Mkenge

JK aliwahi kukiri aliletewa Dokezo la kumuondoa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu kwa hoja kuwa ndio Mhandisi wa madeni feki ya Walimu kumbe ndio alikuwa anapambana nayo kufa kupona kuyadhibiti

alipomtoa madeni feki yakazidi ikabidi aunde Taskforce ya uchunguzi nje ya ile rasmi ndio akagundua huo uozo

Kwny nafasi yeyote ya Management hata ngazi ya kijiji risk kubwa ni kufanya maamuzi kwa kutegemea creative reports

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Hivi TTCL si iko chini ya Nape? Huko atakuwa safe; kwa mshkaji mwenzake mwingine. Basi hapo bado mama anasainishwa tu wanachotaka wajanja.
 
22 May 2023
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI wa MABALOZI NANE, JENERALI MWAISAKA, JENERALI SIMULI, BYAKANWA na WENGINE
1695468573976.png

Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa Utumishi Jeshini (JWTZ).
23 September 2023 amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=5PEPm9ErW2I

MABALOZI-7.jpg
Rais Samia akimuapisha Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, kuwa Balozi kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 16 Agosti, 2023

Updates :
23 September 2023


hours ago — Taarifa kwa umma iliyotolewa inaeleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:
  1. Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
  2. Amemteua Ndugu Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
    Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
    iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.
MAKATIBU TAWALA MKOA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Badala yake amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).
  2. Amemteua Ndugu Mohamed Jumanne Gombati kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Gombati alikuwa Mkurugenzi Msaidizi
    Sehemu ya Maafisa Waandamizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
WAKUU WA TAASISI
  1. Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Bw. Omar Issa ataendelea na majukumu mengine aliyopangiwa katika Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango.
  2. Amemteua Ndugu Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
    Anachukua nafasi ya Mhandisi Peter R. Ulanga ambaye atapangiwa kazi nyingine.
  3. Amemteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kabla ya uteuzi huu Ndugu Nyamo - Hanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
  4. Amemteua Dkt. Erasmus Fabian Kipesha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Kipesha alikuwa Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi (TEA).
WAKUU WA WILAYA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na badala yake amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
  2. Amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo atapangiwa kazi nyingine.
WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI (MA -DED)
  1. Amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo. Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine.
  2. Ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.
  3. Amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.
KATIBU TAWALA WILAYA
Amemteua Ndugu Francis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo. Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Katibu Mkuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wataapishwa siku ya Jumanne saa sita mchana Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2759138
View attachment 2759139
View attachment 2759157

View: https://twitter.com/thinkbig2025/status/1705496772628430985?t=B5funCk5omXMnv-QtfLnaQ&s=19
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:
  1. Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
  2. Amemteua Ndugu Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
    Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
    iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.
MAKATIBU TAWALA MKOA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Badala yake amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).
  2. Amemteua Ndugu Mohamed Jumanne Gombati kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Gombati alikuwa Mkurugenzi Msaidizi
    Sehemu ya Maafisa Waandamizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
WAKUU WA TAASISI
  1. Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Bw. Omar Issa ataendelea na majukumu mengine aliyopangiwa katika Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango.
  2. Amemteua Ndugu Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
    Anachukua nafasi ya Mhandisi Peter R. Ulanga ambaye atapangiwa kazi nyingine.
  3. Amemteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kabla ya uteuzi huu Ndugu Nyamo - Hanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
  4. Amemteua Dkt. Erasmus Fabian Kipesha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Kipesha alikuwa Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi (TEA).
WAKUU WA WILAYA
  1. Ametengua uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na badala yake amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
  2. Amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo atapangiwa kazi nyingine.
WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI (MA -DED)
  1. Amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo. Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine.
  2. Ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.
  3. Amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.
KATIBU TAWALA WILAYA
Amemteua Ndugu Francis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo. Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Katibu Mkuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wataapishwa siku ya Jumanne saa sita mchana Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2759138
View attachment 2759139
View attachment 2759157
What a fucked up country and a regime, sasa Ttcl kuna ni ni!? Ye ye samia alikili Ttcl, imekufa bora wauze kila kitu, sasa jitu liloboronga tanesco,unalipeleka kwenye shirika linalopumulia machine, surely atafsnya ni ni kule Ttcl, zaidi ya kulizika kabisa? ;
Maisha, yamepanda, hii seikali haina, chochote cha kufanya kupunguza matumizi?! Kwani, lazima kila nafasi, uteue mtu? Zingine si, zingefutwa? mfano Dar ilikuwa, na, wilaya, tatu tu, I lala, temeke,na kinondoni? Kwani, eneo LA ardhi limeongezeka? Kwanini Uwe na ubungo na kigamboni? Watu wameongezeka tu, ongeza huduma, shule, hospitari, nk, sio watawala! Hv kuna tija gani, kama kila mwananchi akiwa na mbunge wake!
Watu 200 mbunge mmoja! Au, watu 500000! Mbunge mmoja! Njia, za, kuwasikiliza 200,ndio hizo, hizo, unawasikiliza milioni 5! Sasa, kwanini, ujaze kenge 350+ bungeni?
 
Kumtoa Ulanga TTCL ni kama kutaka kujaribu kuliua tena hilo shirika...

Ulanga naamini alikuwa mtu mwenye upeo sahihi wa kuihuisha TTCL baada ya Kindamba kulegalega...

TTCL ili ishindane na makampuni binafsi inahitaji mtu kichwa...

Ulanga was about to restore ttcl to it glory, he is the reason huduma ya finer majumbani imekuwa launche. Cant say for chande,labda tuone nn kitafanyika
 
This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?

Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?

This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.

Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,

Mosi, astaafishwe for the public interests

Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.


Haya yote yana mwisho.
Kweli Taifa linayumba.
Yaani pamoja na kuambiwa ukweli kuwa hafai bado anahamishiwa kwenye Shirika mama kuendelea kulibomoa! Kweli mnatuona manyani sio bure!!
Hafai hafai! .
2025!!
 
Mbona wa dini ile ni asilimia 90.9?
Wa dini ya Waraka mtaul wa chuya!
 
Chande angepewa usemaji wa timu ya taifa make anapenda kuonekana kwenye kamera za waandishi wa habari
 
Back
Top Bottom