Mahusiano yangu magumu mwanaume wangu hana hela

Mahusiano yangu magumu mwanaume wangu hana hela

Shida ni kwamba hana pesa anasema anasubiri kazi za serikali, though akipata tenda anafanya means kama boss yeyote anamuhitaji lakini tu magari yawe ya private.

Hapendi kuendesha daladala wala magari ya mikoani anachopenda ni fursa za barabarani yaani kama imetokea issue za kutengeneza barabara, au kuendesha maboss (ma afisa)infact Mimi nampenda lakini kazi yake ya udereva sijawahi ipenda na ninatamani aiache tu afungue hata biashara
Lipia Tangazo
 
wewe umemsaidia vingapi kwanza? wewe kumsaidia 5000 tu ndo unakuja kumtangaza huku!?,amakweli wanawake hawana akili afu ni wanyonyaji,we kutoa 5000 ushamuona mzigo je sisi tunao wafuga mpaka uzee wenu wote?
 
Wewe unajishughulisha na nini? Km una pesa na unampenda msaidie huyo engineer (kwa mujibu wa rafiki yake) [emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe unaonekana tegemezi mnagombana kwaajiri ya buku la vocha?? Hebu anza wewe kuonyesha utafutaji wa pesa ili na yeye ashawishike
Toka nianze tafuta vihela aisee,hakuna pesa rahisi,,,,,wanaume kweli wameumbiwa mateso[emoji16]

Imagine unampa mtu pesa hakudai wala nini[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Toka nianze tafuta vihela aisee,hakuna pesa rahisi,,,,,wanaume kweli wameumbiwa mateso[emoji16]

Imagine unampa mtu pesa hakudai wala nini[emoji16][emoji16][emoji16]
Me ndiomana mpenzi wangu namuonea huruma, hata akinipa pesa ya kusuka nakataa km ninayo natumia yangu.
Pesa ngumu sana lakini wanaume hawakomi kuhonga bichwa la chini likishtuka tyuu chap anachana wallet 😂😂😂😂

Ningekuwa mwanaume sijui km ningehonga aiseee!! 🤣🤣🤣
 
Me ndiomana mpenzi wangu namuonea huruma, hata akinipa pesa ya kusuka nakataa km ninayo natumia yangu.
Pesa ngumu sana lakini wanaume hawakomi kuhonga bichwa la chini likishtuka tyuu chap anachana wallet [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ningekuwa mwanaume sijui km ningehonga aiseee!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani[emoji16], pesa ngumu balaa, lkn wanaume wameumbwa kipekee[emoji16]
 
Wana vichwa viwili na cha chini ndio kinawapeleka mbio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Toka nimejua kutafuta pesa aisee!! Nina adabu nayo sana.
Na mtu akikuambia kiwa hana pesa jua hana, maana kila mtu na mipango yake, usilazimishe[emoji16][emoji16][emoji16],
 
Na mtu akikuambia kiwa hana pesa jua hana, maana kila mtu na mipango yake, usilazimishe[emoji16][emoji16][emoji16],
Kuna watu wanajua kuomba khaa!!
Me kitu kilinishinda kuomba pesa aisee!!
Nina huruma sana, ndio kinachoniponza 😜
 
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
 
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
We ndio dereva
 
Back
Top Bottom