Lipia TangazoShida ni kwamba hana pesa anasema anasubiri kazi za serikali, though akipata tenda anafanya means kama boss yeyote anamuhitaji lakini tu magari yawe ya private.
Hapendi kuendesha daladala wala magari ya mikoani anachopenda ni fursa za barabarani yaani kama imetokea issue za kutengeneza barabara, au kuendesha maboss (ma afisa)infact Mimi nampenda lakini kazi yake ya udereva sijawahi ipenda na ninatamani aiache tu afungue hata biashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe si utafute hizo hela? Au mwenzetu una ulemavu gani?
Toka nianze tafuta vihela aisee,hakuna pesa rahisi,,,,,wanaume kweli wameumbiwa mateso[emoji16]Wewe unajishughulisha na nini? Km una pesa na unampenda msaidie huyo engineer (kwa mujibu wa rafiki yake) [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unaonekana tegemezi mnagombana kwaajiri ya buku la vocha?? Hebu anza wewe kuonyesha utafutaji wa pesa ili na yeye ashawishike
Me ndiomana mpenzi wangu namuonea huruma, hata akinipa pesa ya kusuka nakataa km ninayo natumia yangu.Toka nianze tafuta vihela aisee,hakuna pesa rahisi,,,,,wanaume kweli wameumbiwa mateso[emoji16]
Imagine unampa mtu pesa hakudai wala nini[emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani[emoji16], pesa ngumu balaa, lkn wanaume wameumbwa kipekee[emoji16]Me ndiomana mpenzi wangu namuonea huruma, hata akinipa pesa ya kusuka nakataa km ninayo natumia yangu.
Pesa ngumu sana lakini wanaume hawakomi kuhonga bichwa la chini likishtuka tyuu chap anachana wallet [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa mwanaume sijui km ningehonga aiseee!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana vichwa viwili na cha chini ndio kinawapeleka mbio 🤣🤣🤣Yaani[emoji16], pesa ngumu balaa, lkn wanaume wameumbwa kipekee[emoji16]
Na mtu akikuambia kiwa hana pesa jua hana, maana kila mtu na mipango yake, usilazimishe[emoji16][emoji16][emoji16],Wana vichwa viwili na cha chini ndio kinawapeleka mbio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Toka nimejua kutafuta pesa aisee!! Nina adabu nayo sana.
Kuna watu wanajua kuomba khaa!!Na mtu akikuambia kiwa hana pesa jua hana, maana kila mtu na mipango yake, usilazimishe[emoji16][emoji16][emoji16],
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],kwamba.Mke wangu hujaona sehemu sahihi ya kuniambia mpakab uchague mitandaoni asante sana umaskini wangu usiwe kero kwako.
Hela Hana,Nguvu za kuomba hiyo kitu anaitoa wapi?Je, unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba kinyume na maumbile?
Mbwa mimi!!!!!!!www.jamiiforums.com
We ndio derevaI love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
Wasiokua na hela ndio Watu wa hovyo hakuna mfanoHela Hana,Nguvu za kuomba hiyo kitu anaitoa wapi?