Mahusiano yangu magumu mwanaume wangu hana hela

Kwahiyo unataka tufanyeje?
 
Kuna watu wanajua kuomba khaa!!
Me kitu kilinishinda kuomba pesa aisee!!
Nina huruma sana, ndio kinachoniponza 😜
Wewe upo kama mimi jirani,,kuomba omba hapana kwakweli....mwanamke inabidi utafute zako then uje utunukiwe tu na mpenzi wako, tena inakuwaga hela ya maanaπŸ˜‰πŸ˜‰...
Leo ndo nimeamini ile thread ya mtu aliombwa af tatu PmπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€”
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uzi wa Afu tatu...

Wanawake tunaojielewa, hatuombi na tunapewa Tena pesa nzuri tu...
 
Mpaka sasa mtoa mada pages zote tano hajajibu, kaukimbia uzi wake mwenyewe, maana kaonekana hamnazo.
 
Watoto wa mjini mapenzi ni pexa... Bora usimuanike hadharani. mfukuze na utafute mwenye pexa. Yy amearidhia maesha yake!!!
 
Sasa mtu unaomba afu tatu kweli? 🀣🀣🀣
Ndiomana wanafunguliwa nyuzi wamekutana wote matapeli
 
Ulilazimishwa? Huwaoni wenye pesa uende? Au na wewe huna hadhi kulingana na pesa zao?

Usitupigie kelele wewe binti mjinga.
Awamu Ya 6
Thread Closed!!
Nyundo Nzito, Rockets πŸš€ Ukanda Wa Gaza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uzi wa Afu tatu...

Wanawake tunaojielewa, hatuombi na tunapewa Tena pesa nzuri tu...
Ndo iko hivyo,, yani unakua na mtu hadi anawaza huyu nimpe nini ili anione na mimi nina uwezo, maana ukizingatia kila kitu unacho haoni gape la kujipatia sifaπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Sasa mtu unaomba afu tatu kweli? 🀣🀣🀣
Ndiomana wanafunguliwa nyuzi wamekutana wote matapeli
Kwakweli wamekutana wote wana njaa kaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­
 
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜Akija Kusoma Atazinduka Usingizini
Bora azinduke mapema kwakweli maana ef3 au ef5 sio hela za kusababisha maugonvi na kuandikiana nyuzi kama hivi πŸ˜‚πŸ€­
 
Wewe ni binti mjinga sana na mpumbavu.

Kama hana hela nenda kwa wenye hela ukawe chombo cha starehe kwani inakushinda nini
 
Cha msingi uje niwe nakuhudumia,Nina familia Ila Kuna kitu nakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…