Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Is it?
Si wanasema Kuna mateka humo pia wa Israel?πŸ€”πŸ€·
 

Very likely, israel anaweza tumia nukee, akili za muisrael zifanyavyo kazii allah tu ndie ajuayee, hawa jamaa wana solution za faster sanaaa. Na hasiti kwenyee kutekelezaa pre emptive strikee nchi yoyotee hapo mashariki kati ambayo ikajaribu kuingiza pua hapo, itajutaa kuchorwa Mipakaa!
 
Hakuna kitu kama hicho mjomba. Muisrael hana sababu ya kuharibu nukes zake. Mbona kazi imeisha? Walioingia mahandakini imeshakuwa habari yao kwishney. Na sidhani kama kuna uwezekano wa Israel kuhangaika kuopoa maiti zao. Wamejizika wenyewe humo humo.
 
Hakuna kitu kama hicho mjomba. Muisrael hana sababu ya kuharibu nukes zake. Mbona kazi imeisha? Walioingia mahandakini imeshakuwa habari yao kwishney. Na sidhani kama kuna uwezekano wa Israel kuhangaika kuopoa maiti zao. Wamejizika wenyewe humo humo.
Nuke kwa nchi jirani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…