Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

hii vita haitaisha hadi panya wote wa hamas wakamatwe na kuwa castrated. walichokoza wenyewe. na sasaivi raia wameshaondoka Gaza hivyo hakuna sababu hata ya cease fire kule kaskazini wala kupeleka msaada wala kurudisha umeme au kupeleka mafuta.

Hamas wataishiwa silaha, chakula, maji, mafuta ya majenereta na watajitokeza na kusalenda.ndio maana wameshaanza wapo tayari kuachia mateka 15 in exchange of cease fire ya siku mbili tu.

Imagine sasaivi hamas wanaomba poo ya walau siku mbili tu.na jeuri yote ile.
Israel kawapa masaa manne tuu.
 
Muoga ni yule aliejificha kwenye maandaki au yule aliepo juu ardhini?
Majamaa yalikimbia na kufichama kwenye mahandaki waliyochimba kwa fedha ya dhulma.Wafadhili walitoa fedha kusaidia waathirika lakini HAMAS akaipora na kuitumia tofauti na malengo kwa kuchimbia mahandaki. Walitimka na kuingia kwenye mahandaki hayo lakini Mwamba kaamua kuwapulizia cha "kwaheri". Hakuna aliyeleta mtafaruku na Israel akabaki salama.
 
Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
Mtaongea lugha zote, lakini magaidi lazima waishe wa hamaasi
 
Wacheni ujinga hayo sio mahandaki hivyo ni visima afu wanavyo bomoa ni foundation ya majumba kuna handaki likawa hata haifiki meter 1 foundation za nyumba huwa ni 1.5 The tunnels are usually 20M to 30M beneath the surface hawa Israel wanawazingueni tu 😄

Pili kunasehemu inapita sewage au pipe wanasema tunnels.

Hizo ni Hollywood film 😄

Israel mpaa sasa hivi anapigwa na vile vi chipukizi tu vinajitokeza vitatu huku vinne huku wale special force bado wametulia wanwacheka tu wanajeshi wa Israel

Jamaa wa Gaza wanafurahi waisrael wanakimbia wanaogopa tarehe 11/11




View: https://youtu.be/eS21Xo1GME8?si=5Yu7PS5X8b9bKf0Z
 
Wacheni ujinga hayo sio mahandaki hivyo ni visima afu wanavyo bomoa ni foundation ya majumba kuna handaki likawa hata haifiki meter 1 foundation za nyumba huwa ni 1.5 The tunnels are usually 20M to 30M beneath the surface hawa Israel wanawazingueni tu 😄

Pili kunasehemu inapita sewage au pipe wanasema tunnels.

Hizo ni Hollywood film 😄

Israel mpaa sasa hivi anapigwa na vile vi chipukizi tu vinajitokeza vitatu huku vinne huku wale special force bado wametulia wanwacheka tu wanajeshi wa Israel

Jamaa wa Gaza wanafurahi waisrael wanakimbia wanaogopa tarehe 11/11




View: https://youtu.be/eS21Xo1GME8?si=5Yu7PS5X8b9bKf0Z

Hata wewe mwenyewe huelewi hiyo video uliyopost inaelezea nini,umeona wametamka Palestina wakamwonyesha na Netanyahu, ukaweka maelezo yako toka kichwani ukakimbilia kuleta video hapa fastaaa😆😆
 
Mlisema Israel hataingia Gaza Kwa mguu, ameingia.
Sasa mnasema hawezi ingia kwenye mahandaki 😃😃

Kama mnaoisapoti Palestina ndio mlo hivi basi pole yao Palestina.
Waliosema hatoingia si wafuatiliaji wa ugomvi wa Israel na Palestine, Israel Mara kwa Mara huingia Gaza,ndiyo maana Hamas wakajenga mji chini
 
Wacheni ujinga hayo sio mahandaki hivyo ni visima afu wanavyo bomoa ni foundation ya majumba kuna handaki likawa hata haifiki meter 1 foundation za nyumba huwa ni 1.5 The tunnels are usually 20M to 30M beneath the surface hawa Israel wanawazingueni tu 😄

Pili kunasehemu inapita sewage au pipe wanasema tunnels.

Hizo ni Hollywood film 😄

Israel mpaa sasa hivi anapigwa na vile vi chipukizi tu vinajitokeza vitatu huku vinne huku wale special force bado wametulia wanwacheka tu wanajeshi wa Israel

Jamaa wa Gaza wanafurahi waisrael wanakimbia wanaogopa tarehe 11/11




View: https://youtu.be/eS21Xo1GME8?si=5Yu7PS5X8b9bKf0Z

Una Elimu gani ustaadhi? Mbona unatuaibisha sana wenzio? Wote tutaonekana maandazi.
 
Just rumors tu, nuke wa head kwa sehem ndogo kama gaza ni overkill. madhara yake yana last life time
Sidhan kama wataruhusiwa
Kwani nani anatoa ruhusa?
Na kuna tofauti gani kuwaua kwa risasi na kuwaua kwa nyuklia?
 
Back
Top Bottom