Wacheni ujinga hayo sio mahandaki hivyo ni visima afu wanavyo bomoa ni foundation ya majumba kuna handaki likawa hata haifiki meter 1 foundation za nyumba huwa ni 1.5 The tunnels are usually 20M to 30M beneath the surface hawa Israel wanawazingueni tu 😄
Pili kunasehemu inapita sewage au pipe wanasema tunnels.
Hizo ni Hollywood film 😄
Israel mpaa sasa hivi anapigwa na vile vi chipukizi tu vinajitokeza vitatu huku vinne huku wale special force bado wametulia wanwacheka tu wanajeshi wa Israel
Jamaa wa Gaza wanafurahi waisrael wanakimbia wanaogopa tarehe 11/11
View: https://youtu.be/eS21Xo1GME8?si=5Yu7PS5X8b9bKf0Z