Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haaiwezekani kupata kibali cha kufanya usafi na kuwa miongoni mwa wanajeshi siku hizo mbili? Hata FFU tu?
 
Ndo maana nikasema nikufundishe majukumu huenda hujui hata kazi ya jeshi!
Hakuna Jeshi Duniani lenye kazi ya kufanya usafi..
Shida yako unasimuliwa na unaambiwa kila kitu
Siku hy wakati mnaandamana ndio utajua majukumu ya jeshi, uwepo eneo la tukio usije kuleta visingizio
 
Mbowe nimeshaanza kumshtukia ni ccm inside job.
Huwez kutumia mbinu ile ile miaka nenda rud bila mafanikio na bado unai opt.
Siku nikiskia kuna mchango wa chini chini kusupport logistics za jeshi la ukombozi nitajua wanamaanisha.
Kwa kiwango cha usugu wa ccm maandamano ni porojo.
Ifahamike ni chama chenye mtaji nyanja zote kuliko chama chochote cha siasa africa, haijalishi kinaongoza nyumbu.(pesa, watu/utaalam, vifaa vya kijesh/dola, na zaid NIA ya kukaa madarakan)
 
Sikujua una akili mbovu hivi wewe mpare
Nawe unajiita msomi matako ya fisi wewe ovyo kabsaaa takataka wewe
Unakaribishwa kwenye maandamano hapo ndipo utajua matako ya fisi yalivyo, tunakupasua hayo makalio ukamuonyeshe mumeo Mbowe ili akupe dawa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
Chadema ijikite kupanga maandamano tokea ngazi za chini kabisa viongozi wa matawi uwa wana nguvu na ushawishi Mkubwa kwa wanachama hai. Wasipoteze nguvu na hizi measures za kurupuka za Serikali. Huko kwenye mashina kuna wana CCM, polisi, jeshi na usalama wenye mapenzi na Nchi watatoa siri za mipango yao na kushauri cha kufanya ni muhimu wanaoratibu haya maandamano wawe waskivu na channel nzuri ya mawasiliano kupokea information toka kwenye matawi yao.
 
Chadema ijikite kupanga maandamano tokea ngazi za chini kabisa viongozi wa matawi uwa wana nguvu na ushawishi Mkubwa kwa wanachama hai. Wasipoteze nguvu na hizi measures za kurupuka za Serikali.
Kwanini wafanye maandamano kwani wameshindwa kufanya njia Nzuri ya kupata suluhisho..
Maandamano sio njia nzuri kwa nchi kama yetu!
 
Back
Top Bottom