Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema wangeendelea kudai katiba! Wangepata huruma ya dola!

Lakini wakaingia mkenge was nusu mkate wakakosa hata credibility ya Dola kuwatetea!!

Waache kulalamika wavune walichopanda!!

Wewe naye. Dola ndio ilitangaza elimu ya Katiba kwa miaka mitatu, Sasa ulitaka CHADEMA wafanyeje.
 
Siku hizi jeshi limekuwa la kufanya usafi?. Yani zile 4R ni unafiki tu.
Si tulikubaliana mama anaupiga mwinginkiko wapi
Shida mna akili fupi, Mbowe maandamano ya dp world aliyadanifu
leo kwa kuwa anaona interest zake anatangaza maandamano
 
Amani yetu ni bora sana kuliko kuwaacha wahuni wa chadema wachukue political mileage kwa manufaa yao,wakati huo wananchi wasio na hatia wakipoteza maisha mbowe na makengeza yake atakuwa akishuhudia haya kupitia runinga akiwa Mareakani na Lissu akiwa Amsterdam ubeligi kwa mabwana zake.


Safi sana serikali yangu,na mimi ningekuwa Dar ningejitolea kufanya usafi siku hiyo,eti maandamano,my foot

Aibu yako. CHADEMA inawafanyisha usafi kwa nguvu.
 
Kwani nani kawakataza?Si wafanye maandamano. Kwani usafi unahusiano gani na maandamano?Si fanyeni tu maandamano!

CHADEMA wasogeze siku moja mbele tuone hao marobot watafanyaje
 
Si tulikubaliana mama anaupiga mwinginkiko wapi
Shida mna akili fupi, Mbowe maandamano ya dp world aliyadanifu
leo kwa kuwa anaona interest zake anatangaza maandamano

Acha kuniambia ujinga. Usirukie mada za watu. Nimekuiliza swali halafu unalitea mambo ya mama mjinga.
 
Wakizagaa dar tunaanzia bunda kuelekea maeneo ya kibara,kisolya na kwiramba ili tukutane na cprian musiba Yuko mugara anavua sangara
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
Mungu awatie nguvu
 
Back
Top Bottom