Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa miamba watakuwa mitaani kufanya usafi siku ya 24/02/2024


USSR
FB_IMG_1705234820899.jpg
FB_IMG_1705220594911.jpg


Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
...Yaani JWTZ ya Kuliñda Mipaka yetu na Rasilimali zetu Leo Wanasiasa Wanaishusha Hadhi na kuishia kuwa Jeshi la KUFAGIA Barabara Zetu ? [emoji848][emoji848][emoji848]...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
Kwa hiyo CDM watakuwa takataka?😂😂
 
Polisi na jeshi Tanzania ni kazi za laana. Ndio maana wengi wao wakistaafu wanakuwa kama matarambara ya deki. Dhuluma na kutumika kuiba kura wanavyofanya ndio chanzo cha yote.
 

Huu utaratibu wa kuyatumia majeshi yetu kwenye mambo ya kujinga ya kisiasa ni kuyashushia hadhi majeshi yetu.

Ningekuwa CDF ningemuita Chalamila ofisini kwangu na ningemwambia maneno mawili tu "KUWA NA ADABU" na kumtaka aondoke mara moja.
 
Mimi nitakwenda kufanya usafi alafu baadae nitakwenda kwenye maandamano.
 
Mimi nitakwenda kufanya usafi alafu baadae nitakwenda kwenye maandamano.
 
Ndo maana nikasema hakuna Nchi inayoweza kupeleka 5 brigade kuikusanya sehemu moja Ni hatari sana kwa Usalama wa Taifa..
Halafi askari Polisi 3000 ni wengi sana sidhani kama tunaweza kuwa Nao kwa mkoa wa Dar peke yake
Je Cdm ikiamua kuitisha maandamano nchi nzima, askari wangapi wstafanya usafi siku hiyo.
 
Yaani umecheka nini?Si usafi tu!!!
Hii kitu ya usafi kwa kutumia majeshi mara nyingi huwa inafanyika siku ikitangazwa maandamano na vyama nje ya CCM tu!.
 
Back
Top Bottom