Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Kwa wachaga hawana utu hata wenyewe wanalijua Ilo Bali Ni pesa mbele tu. Yaani cheki wale wachaga masikini huwa rafiki zao Ni makabila mengine. Huwa hawaendi kwao likizo Mana kudhihakiwa na kutumwa Kama watoto mwanzo mwisho. Wewe Ni me Mara utasikia mdogo wako wa kike anakuambia nioshee Ilo benzi langu dogo.
Wewe ndiye unayetumwa Kama mtt.

Na ndio Mana ukioa uchagani uwe na hela halafu kwao hawana hela ndio utalijua jiji lazima tu utajenga kwao,uwape mtaji wadogo zake ama wakubwa whether you like or not ukikataa tu utasikia majambazi wamevamia umeuwa.

Kuna wachaga wanajenga Ila wanapanga wake zao wasijue Kama tayari wameshajenga. So Ilo mie silishangai.

Wachaga Wana hela wafanyabiashara wanawakimbilia wa Asia ama waarabu Ni wasomi wao ndio wanaomiliki miradi mikubwa hapa Tanzania. Ndio wasomi wengi hata huko vyuoni na taasisi nyeti serikalini hata Delta binafsi. Tunao Neurosurgeons Kama Tisa nadhani wengi wa hao Tisa tanzania nzima Ni wachaga.kiufupi wanafanya biashara ikiwa damuni sio Kama makabila mengine wanafanya Kama option. Yaani mchaga na pesa/biashara Ni sawa na mmasai na ng'ombe.


Lile la kwanza watakataa na watanishambulia mana Ni ukweli na ukweli kawaida ya ubongo inaukataa na unauma Ila hili la mwisho watafurahia na Mana nimewajaza ego ego yao yaani nimewalisha ikashiba
 
Una akili mgando sana fala sana, wachaga ni funza gani
 
32 years jamani si umri wa kua dependent, hata ikitokea ukakosa msaada si ku lalamika.
Maisha ni kupambana.
 
Umejaribu kufananisha vitu viwili tofauti kabisa,yaani ni kama unajaribu kuaminisha watu kwamba usiku na mchana ni sawasawa
 
Hakuna Mtu ninaemchukia hapa duniani kama muabudu hela, anamtosa yeyote, Nina maana yeyote yule ili mradi apitiwe angalau tu na harufu ya hela. Hata asipoipata.kwa ujumla si binadamu kabisa...
 
Tatizo kubwa hapo ni roho mbaya ya mama wa kambo. Daima Mama wa kambo sio Mama
Asilimia kubwa wengi wana roho mbaya japo hata mimi siku moja naweza jikuta mama wakambo.Ila wapo wazuri japo wachache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…