Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Mama wa kambo weng Wana roho mbaya sanaaaaa sijui wakoje yaani speaking from my very own experience
Nasemaga hivi wanangu ni sehemu ya mwili wangu sitaruhusu walelewe na mama wa kambo labda nife na nasemaga always nikifa wanangu waende orphanage tu kuliko kuishi na mama wa kambo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakika haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wachaga hawana utu hata wenyewe wanalijua Ilo Bali Ni pesa mbele tu. Yaani cheki wale wachaga masikini huwa rafiki zao Ni makabila mengine. Huwa hawaendi kwao likizo Mana kudhihakiwa na kutumwa Kama watoto mwanzo mwisho. Wewe Ni me Mara utasikia mdogo wako wa kike anakuambia nioshee Ilo benzi langu dogo.
Wewe ndiye unayetumwa Kama mtt.

Na ndio Mana ukioa uchagani uwe na hela halafu kwao hawana hela ndio utalijua jiji lazima tu utajenga kwao,uwape mtaji wadogo zake ama wakubwa whether you like or not ukikataa tu utasikia majambazi wamevamia umeuwa.

Kuna wachaga wanajenga Ila wanapanga wake zao wasijue Kama tayari wameshajenga. So Ilo mie silishangai.

Wachaga Wana hela wafanyabiashara wanawakimbilia wa Asia ama waarabu Ni wasomi wao ndio wanaomiliki miradi mikubwa hapa Tanzania. Ndio wasomi wengi hata huko vyuoni na taasisi nyeti serikalini hata Delta binafsi. Tunao Neurosurgeons Kama Tisa nadhani wengi wa hao Tisa tanzania nzima Ni wachaga.kiufupi wanafanya biashara ikiwa damuni sio Kama makabila mengine wanafanya Kama option. Yaani mchaga na pesa/biashara Ni sawa na mmasai na ng'ombe.


Lile la kwanza watakataa na watanishambulia mana Ni ukweli na ukweli kawaida ya ubongo inaukataa na unauma Ila hili la mwisho watafurahia na Mana nimewajaza ego ego yao yaani nimewalisha ikashiba
Wachaga hawana utu ni kweliii, nakubaliiiiiii haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya majina wanayopeana yanawaongoza vibaya. Kwa kuwa ameitwa Stahimili, waliyegemea astahimili matatizo yaliyomzidi? Binadamu hatuna utu!
 
Mfano mtu kama 50 Cent wote tunamjua sasa hivi lakini kwa mazingira aliyokulia ukifika miaka 25 na upo hai hujapigwa shaba unamshukuru Mungu...mbona wametoboa....32+ years ni nyingi sana kwa kijana kutoa kisingizio au lawama kama hajasaidiwa na wazazi
Alikuwa na ugonjwa wa kifafa.Hakuwa mzima wa afya.
 
Wachaga hawana utu ni kweliii, nakubaliiiiiii haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ubaguzi wanao mno. Yaaani nasema hivi weka Basi lako from mwanza let say to Arusha ama Moshi. Uone Kama watapanda Ni mwendo wa Asante rabi.
Cheki hii Sheli ya olasiti Ni ya mchaga magari yote ya wachaga yanakunywa mafuta kwa hiyo Sheli. Yakikata wanakunywa sheli ya chasaka kidogo ili wafikie nyumba wanywe ya kutosha.
Mchaga kitu Cha kwanza ukikutana naye Ni anataka ajitahidi ajue wewe Ni mwenyeji wa wapi Basi ndio first priority yao.
Jitahidi hela yako na wewe usimpelekee Bora hata upeleke duka la chasaka.

Yaani fungua duka pembeni yake ndio utajua mziki wake. Na Kama unamzidi hela anaweza akakuibia
 
32 Years ?

Alexander the Great had a profound effect on world history. His conquests covered the entire known world at the time, and he was responsible for the spread of Greek culture throughout the ancient world. In Babylon in 323 BC, Alexander died when he was nearly 33 years old.

RIP kijana..., anyway si vema kuleta lawama kwa mtu yoyote yule..., In life we make our own beds hence we should be ready to lie on them....
Umeambiwq alikuwa mgonjwa tena kama kifafa hali iliyopelekea kupoteza kazi. Alihitaji tu msaada aweze kujimudu kazi inayoendana na hali yake siyo hizi za waajiri. He needed help for sure.
 
Back
Top Bottom