Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Mfano mtu kama 50 Cent wote tunamjua sasa hivi lakini kwa mazingira aliyokulia ukifika miaka 25 na upo hai hujapigwa shaba unamshukuru Mungu...mbona wametoboa....32+ years ni nyingi sana kwa kijana kutoa kisingizio au lawama kama hajasaidiwa na wazazi
lakin mkuu alikuwa mgonjwa according to thread tena kifafa.. huyo alihitaji msaada wa wazazi...
 
Umejaribu kufananisha vitu viwili tofauti kabisa,yaani ni kama unajaribu kuaminisha watu kwamba usiku na mchana ni sawasawa
Unamaanisha nini ?

Nimejibu comment ya mtu hapo juu huhusu huyu mtoto kutelekezwa nikauliza 32 years ni mtoto....

Sasa kama mtu at 32 alisha-conquer the world ije kuwa mtu at 32 kupambana na msalaba wake ? au wewe ndio hauelewi !!!!
 
Mbona ni mchaga huyo kijana, Au mama wa kambo kaamua hakuna mahali pa kumzika huko moshi. Siyo rahisi mchaga kuzikwa ugenini vinginevyo kuna namna wameona wasitumie gharama kwa huyo kijana ambae walikuwa hawaoni impact yake.
 
Nasikitika kuona huo msalaba bado umeandikwa jina la baba ake kwanini wasingeandika PIUS SERIKALI
Ukisoma hiko kisa utagundua kuna kauli kama mama yake aliyekuwa akiishi Moshi mkoani Kilimanjaro ukitafakari huu mstari utagundua mmoja wa wazazi wake wanaotajwa kuwa na ugomvi nae siyo aliyemtoa ktk kiuno chake.

My point is,upo uwezekano baba yake alikuwa anajaribu kuwa karibu na mwanae ila nguvu ya mama mwenye nyumba ikashinda.hawa mama wa kambo wanawatesa sana watoto pamoja na kuwasingizia vitu vya uwongo kwa baba zao.
 
Kwa wachaga hawana utu hata wenyewe wanalijua Ilo Bali Ni pesa mbele tu. Yaani cheki wale wachaga masikini huwa rafiki zao Ni makabila mengine. Huwa hawaendi kwao likizo Mana kudhihakiwa na kutumwa Kama watoto mwanzo mwisho. Wewe Ni me Mara utasikia mdogo wako wa kike anakuambia nioshee Ilo benzi langu dogo.
Wewe ndiye unayetumwa Kama mtt.

Na ndio Mana ukioa uchagani uwe na hela halafu kwao hawana hela ndio utalijua jiji lazima tu utajenga kwao,uwape mtaji wadogo zake ama wakubwa whether you like or not ukikataa tu utasikia majambazi wamevamia umeuwa.

Kuna wachaga wanajenga Ila wanapanga wake zao wasijue Kama tayari wameshajenga. So Ilo mie silishangai.

Wachaga Wana hela wafanyabiashara wanawakimbilia wa Asia ama waarabu Ni wasomi wao ndio wanaomiliki miradi mikubwa hapa Tanzania. Ndio wasomi wengi hata huko vyuoni na taasisi nyeti serikalini hata Delta binafsi. Tunao Neurosurgeons Kama Tisa nadhani wengi wa hao Tisa tanzania nzima Ni wachaga.kiufupi wanafanya biashara ikiwa damuni sio Kama makabila mengine wanafanya Kama option. Yaani mchaga na pesa/biashara Ni sawa na mmasai na ng'ombe.


Lile la kwanza watakataa na watanishambulia mana Ni ukweli na ukweli kawaida ya ubongo inaukataa na unauma Ila hili la mwisho watafurahia na Mana nimewajaza ego ego yao yaani nimewalisha ikashiba
So kwa muktadha huo tuseme MJINGA MPE CHEO?!!!
 
32 Years ?

Alexander the Great had a profound effect on world history. His conquests covered the entire known world at the time, and he was responsible for the spread of Greek culture throughout the ancient world. In Babylon in 323 BC, Alexander died when he was nearly 33 years old.

RIP kijana..., anyway si vema kuleta lawama kwa mtu yoyote yule..., In life we make our own beds hence we should be ready to lie on them....
Shibe inakudanganya
 
32 years jamani si umri wa kua dependent, hata ikitokea ukakosa msaada si ku lalamika.
Maisha ni kupambana.
Sasa mzee utapambanaje afya mgogoro?

Hapo tumeambiwa alikuwa na kitu kama kifafa nani angeajiri mtu anayeanguka kwa siku mara mbili mwisho wa mwezi akimlipa mshahara?baba yake ndiye mjinga kushikiwa akili na mwanamke akashindwa hata kumtibia mwanae!

Angempa matibabu stahiki tu kisha akamwacha akahangaike huko siyo kuacha mpaka damu yake iishi kwenye pagale,Mchagha fala sana huyo.
 
Kwa waliolelewa na mama wa kambo wale wenye sifa ya kuitwa mama wa kambo hawawezi kushangaa tukio hili
 
Shibe inakudanganya
Nope hapa nilipo nina njaa kubwa sana ila kwa kuweza kuvuka umri wa utoto mpaka umri wa ujana na mpaka ukubwa ninashukuru sana..., sababu ningeweza kuuliwa wakati siwezi kujitetea, kwahio chochote kinachotokea baada ya hapo it's on me.... Nashukuru chochote nachopata na kuwashukuru wote waliotoa chochote sababu mengi wanayofanya wala sio wajibu, ni ubinadamu....

By the way Shibe na Njaa inachangiwa na Mentality..., ukiwa na mentality ya njaa hautashiba kamwe unaweza ukasikia kiu wakati umezungukwa na ziwa....
 
Hakupaswa kutengwa wakati wa uhai, lakini alifanya nini kwa wazazi wake!?
 
Back
Top Bottom