Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
lakin mkuu alikuwa mgonjwa according to thread tena kifafa.. huyo alihitaji msaada wa wazazi...Mfano mtu kama 50 Cent wote tunamjua sasa hivi lakini kwa mazingira aliyokulia ukifika miaka 25 na upo hai hujapigwa shaba unamshukuru Mungu...mbona wametoboa....32+ years ni nyingi sana kwa kijana kutoa kisingizio au lawama kama hajasaidiwa na wazazi