Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Unamaanisha nini ?

Nimejibu comment ya mtu hapo juu huhusu huyu mtoto kutelekezwa nikauliza 32 years ni mtoto....

Sasa kama mtu at 32 alisha-conquer the world ije kuwa mtu at 32 kupambana na msalaba wake ? au wewe ndio hauelewi !!!!
Mkuu nimekuelewa vizuri tu na kikawaida haifai kwa mtu wa miaka 32 kuwa katika hali ya kutegemea wazazi wake lakini maana ya comment yangu ni kwamba mfano wako umeenda mbali sana.

Kwanini nimesema hivo?

Hatukuwahi kufanana na hao watu(whites) hadi hii leo ndyo maana unaona tuna viongozi wetu wamesoma haswa lakini unaona namna gani nao wanavyopelekeshwa na hao watu weupe.

Labda ungejaribu kufananisha mtu wa umri huo kikawaida kwa hapa kwetu bongo na pengine Afrika nzima kwamba anakuwa na chochote cha kujishughulisha,lakini mbali na kuwa na kitu cha kujishughulisha mtu wa miaka 32 kwa hapa Tanzania anakuwa na familia kabisa ikimaanisha kwamba anatakiwa ategemewe.
 
Mkuu upo sahihi, ni kama ile kesi ya mkoani Mwanza iliyopo viral kwenye mitandao. Mama kwa kushirikiana na wanaye wanne kumuua baba yao mzazi kwa kumchija!
 
Binafsi fikra zangu zipo tofauti na lawama zangu zinaenda tofauti Conficus alisema “In a country well governed, poverty is something to be ashamed of. In a country badly governed, wealth is something to be ashamed of.

Sasa kwa nchi ambayo watu wanalamba asali na kula keki ya taifa hadi makombo; kizazi kijacho kitakuwa hata hakina pension; vijana ambao ni nguvu kazi sio kwamba ni wazembe bali hakuna kazi zenye ujira... kwahio uzeeni watakuwa hawana pension, kijiji wala pa kukimbilia...

Kijana ambae ametoka Chuo baada ya mzazi kuuza shamba lake anarudi bado ni tegemezi na kwa mzee wake ambae huenda na yeye hana hata pension na jua limeanza kuzama..., unadhani emotionally huyu kijana ambae amegeuka kuwa mzigo atajiona vipi, ukizingatia hata kumsaidia hawezi...

Individually mtu mmoja mmoja hatuwezi kulaumu mtu yoyote (sababu kila mtu atabeba msalaba wake) ila as a community we have failed maisha yetu sio sustainable na tunajenga kesho ngumu na hatari sana kuliko leo...

Tumeshindwa na tunashindwa kuweka misingi bora na endelevu tunajenga matabaka ya masikini wengi ambao ni nguvu kazi ambazo zingezalisha... tunazifundisha kuwa wachuuzi na omba omba na jawabu la matatizo yetu limekuwa ni kujiajiri...., na ajira hizo ndio Bahati nasibu, machinga / wachuuzi wa bidhaa kutoka ughaibuni....
 
32 years jamani si umri wa kua dependent, hata ikitokea ukakosa msaada si ku lalamika.
Maisha ni kupambana.
Watu wengi bana, mnajifanyaga much know sana, muombe sana Mungu wako asikupungukie kwa kila kitu
 
Unamaanisha nini ?

Nimejibu comment ya mtu hapo juu huhusu huyu mtoto kutelekezwa nikauliza 32 years ni mtoto....

Sasa kama mtu at 32 alisha-conquer the world ije kuwa mtu at 32 kupambana na msalaba wake ? au wewe ndio hauelewi !!!!
We we naona ni mpuuzi, Alexander the great alikuwa mtoto wa mfalme na kaachiwa ufalme akiwa na miaka 16+.
Ni sawa na mtu anayesema Mo in bilionea mwenye umri mdogo wakati kiuhalisia amerithi na alikuwa na foundation ya management kutoka kwa familia kuhusu biashara.
Btn Alexander alikuwa anaenda vitani na baba yake toka ni mdogo.
Sio wakati wote juhudi na akili vitakufanya ufanikiwe wakati na bahati ni part kubwa.
 
Kwahyo tukiachane nisivute binti mzuri tulizo la nafsi kisa hutaki watoto walelewe na mama wa kambo we kama uliolewa bila mtoto utaondoka bila mtoto
 
Wachaga wana roho mbaya sana.
 
Kwanini Baba yake ndio haku-conquer the world ? na ku-expand empire kama Alexander ?

Jaribu kuweka uwiano wa mambo..., hapa issue imekuja umri kwamba ni mtoto; kwahio jibu likaja kwamba at 32 unaweza / inawezekana mtu aka-achieve kiasi gani, sio kwamba watu wawe kama yeye...., bali ukiona hauna viatu kumbuka kuna wengine hawana hata miguu....

Issue hapa sio mafanikio issue ni kuangalia ni vipi watu walio at a disadvantage kuliko hata wewe wameweza kufanya makubwa zaidi;

Unaweza kulalamika una chongo na hauoni vizuri wakati kuna kina David Blunkett walizaliwa vipofu ila waliweza kuwa mpaka mawaziri..., au unasema hauma mbio kwahio unashindwa kucheza mpira wakati kuna kina Garrincha (certified kilema) ila alikuwa mpiga chenga duniani haijawahi kuona.....

Life is purely a matter of perspective.
 
Miaka 32 unalilia msaada kwa wazazi [emoji276]?,Dunia ina maajabu yake!,sisi wengine tulioanza kujipambania kuanzia miaka 16 sijui tulifeli wapi [emoji851]
 
mwanamke ana nguvu sana,haya yote yameletwa na mama wa kambo,angekuwa mwanaye angesema hana nafasi?
na mwanaume ukishikwa masikia utajazwa sumu mpaka umchukie mtoto
 
Miaka 32 unalilia msaada kwa wazazi [emoji276]?,Dunia ina maajabu yake!,sisi wengine tulioanza kujipambania kuanzia miaka 16 sijui tulifeli wapi [emoji851]
muwege mnasoma habari mnaimaliza nini hichi umeandika sasa
 
Alaf haya MAJINA ya kuwapa watoto tuwe nayo makini "STAHIMILI"
Ulaya kuna mchezaji anaitwa Hazard unaelewa maana yake ?

Acheni Mila potovu nyie waswahili. Kwani ukiitwa God ndio hutakufa au utakuwa na maisha mabaya ?


Hazard ana maisha mazuri kushinda mamilion ya watanzania wanaoitwa Samson

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kijana HAZARD ni Mbelgiji.. Huwenda neno HAZARD kwao lina maana tofauti. Zaa mwanao muite MSIBA,MASUMBUK,SHIDA,MASHAKA etc hujakatazwa.
 
Wazazi tuzae watoto tunaoweza kutunza, hivi unamkataaje mwanao wababa wwchache sana hujali watoto.
Umeshawahi kuishi na mama wa kambo?
Halafu baba Yako Hana sauti ?

Mama wa kambo ndy tatizo,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…