Majirani wazuia jeneza la kijana kuingia kwa wazazi wake

Hakika haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaga hawana utu ni kweliii, nakubaliiiiiii haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya majina wanayopeana yanawaongoza vibaya. Kwa kuwa ameitwa Stahimili, waliyegemea astahimili matatizo yaliyomzidi? Binadamu hatuna utu!
 
Alikuwa na ugonjwa wa kifafa.Hakuwa mzima wa afya.
 
Wachaga hawana utu ni kweliii, nakubaliiiiiii haswaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ubaguzi wanao mno. Yaaani nasema hivi weka Basi lako from mwanza let say to Arusha ama Moshi. Uone Kama watapanda Ni mwendo wa Asante rabi.
Cheki hii Sheli ya olasiti Ni ya mchaga magari yote ya wachaga yanakunywa mafuta kwa hiyo Sheli. Yakikata wanakunywa sheli ya chasaka kidogo ili wafikie nyumba wanywe ya kutosha.
Mchaga kitu Cha kwanza ukikutana naye Ni anataka ajitahidi ajue wewe Ni mwenyeji wa wapi Basi ndio first priority yao.
Jitahidi hela yako na wewe usimpelekee Bora hata upeleke duka la chasaka.

Yaani fungua duka pembeni yake ndio utajua mziki wake. Na Kama unamzidi hela anaweza akakuibia
 
Umeambiwq alikuwa mgonjwa tena kama kifafa hali iliyopelekea kupoteza kazi. Alihitaji tu msaada aweze kujimudu kazi inayoendana na hali yake siyo hizi za waajiri. He needed help for sure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…