Majungu na kukwamishana Buboka Mjini vyamliza Mbunge Byabato. Apiga magoti na kutoa machozi mbele ya wanabukoba

Majungu na kukwamishana Buboka Mjini vyamliza Mbunge Byabato. Apiga magoti na kutoa machozi mbele ya wanabukoba

Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.

Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.

Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)

Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!

Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.

Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.

View attachment 2784184
Maskini! Hapa ndipo ameonesha kutokomaa kulivyo kwa shida kweli. Utoto raha
 
tuwe serious kidogo hivi stand na barabara ya njia nne ndiyo inaleta utajili kweli, ofcourse stand inatakiwa kuwepo na miondombinu mingine lakini sio vichocheo vya uchumi hivo, bukoba wabadili akili zao za kuamini maisha ni shule tu
 
tuwe serious kidogo hivi stand na barabara ya njia nne ndiyo inaleta utajili kweli, ofcourse stand inatakiwa kuwepo na miondombinu mingine lakini sio vichocheo vya uchumi hivo, bukoba wabadili akili zao za kuamini maisha ni shule tu
Kwa hiyo unashauri waache kusoma au???
 
tuwe serious kidogo hivi stand na barabara ya njia nne ndiyo inaleta utajili kweli, ofcourse stand inatakiwa kuwepo na miondombinu mingine lakini sio vichocheo vya uchumi hivo, bukoba wabadili akili zao za kuamini maisha ni shule tu
Kwa hiyo waache kusoma?

Wawe kama wew usivyo na akili...
 
Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.

Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.

Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)

Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!

Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.

Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.

View attachment 2784184
huyo anayempiga majungu hadi analia mbele za watu ni nani? kwahiyo hata akitembelea wakwe zake wanajua alilia mbele za watu. huyo dogo vipi? wamekosekana watu wenye mshipa mgumu wasio lialia washike hilo jimbo?
 
BITEKO kawekwa kama Project ya Usukumani... Baada ya Magufuli kufariki... Wasukuma wamepoozwa na BITEKO 😂
wasukuma si ubongo wao mdogo, hapo wamesharidhika na wamesahau yooote. hadi kifo cha mawazo wamekisahau.
 
Njombe hii iliyojaa ushirikina na kulawiti watoto wadogo kama njia ya kupata mali?
Mkuu Bukoba imestaarabika mno...kiongozi pale unahitaji kuwa mkweli na transparent vinginevyo utayumbishwa hadi kulia...bukoba watu hawadanganyiki kizembe...
Tutajua mengi, yetu macho!
 
Hiyo inahusianaje na ujenzi wa barabara nne?
Kwa elimu ya watu wa singida wala sishangai unachouliza, ninyi ndio wale watu wakipigia kelele ripoti ya CAG mnasema haiwahusu, kla kitu hakiwahusu.
 
Kwa elimu ya watu wa singida wala sishangai unachouliza, ninyi ndio wale watu wakipigia kelele ripoti ya CAG mnasema haiwahusu, kla kitu hakiwahusu.
Mkuu siasa za maneno zinapaswa kuisha. Twende kwenye siasa za kupanga mipango na kuitekeleza.
 
Hii ndo stend ndogo ya daladala inayojengwa hapo bukoba sehemu ilipokuwa stendi ya zamani...

Stendi kuu itajengwa kuanzia mwakani chini ya mradi wa tactic eneo la kyakairabwa 8km kutoka ilipo hii...

Sasa mabasi yote yamehamishiwa Kibeta 5km kutoka iliko hii...
Huu ni mchoro wa stendi ndogo ya daladala inayojengwa kwa miezi sita hapo Bukoba mjini...View attachment 2784416
Kwakweli wajenge tu at least ina hadhi ya stendi sio kile kituko kilichokuepo!
 
Mkuu siasa za maneno zinapaswa kuisha. Twende kwenye siasa za kupanga mipango na kuitekeleza.
Hao watu wa maeneo ndio wanakwamisha na unajua hilo, Kuna maeneo watu hawajali na wanaambiwa mafiga matatu, wana mbunge hajawahi kuongea bungeni kwa miaka 10 na wapo tu, ndugu ukilala wenzio wameamka, ukitembea wenzio wanakimbia.
 
Pumbavu amechelewa sana Chalamila aliwaambia Bukoba mkabisha.
Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.

Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.

Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)

Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!

Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.

Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.

View attachment 2784184
 
Mbunge wa Bukoba wa Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa anaongea na wakazi wa jimbo wakati akikabidhi mkataba wa ujenzi wa Standi Kuu ya Mabasi hilo amelalamikia majungu yanayoendelea Bukoba Mjini ambayo yanakwamisha maendeleo ya manispaa hiyo kwa miaka nenda rudi.

Baadhi ya miradi ambayo imekuwa ikikwamishwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ni pamoja na Stendi Kuu ya Mabasi Bukoba na Barabara ya Nyangoye ambayo imekuwa ikisababisha vifo na vilema kwa miaka nenda rudi.

Akiongea kwa machungu sana mpaka kupelekea kulia na kupiga magoti anadai kusaidia Bukoba kutekeleza hiyo miradi kwanini iwe NONGWA kwake? Kwanini aanze kupigwa majungu. Ameendelea kudai kuwa atahakikisha miradi hiyo inatekelezwa hata akinyimwa Ubunge 2025 lakini wananchi wakiona miradi hiyo watamkumbuka 'Ni Byabato Omsigazi Tukamwima Obubunge, chonka akabikola'(Ni kijana Byabato Tulimnyima Ubunge lakini aliifanya kazi)

Amesema aliomba ujenzi wa barabara ya Nyangoye, wataalamu wakaja wakafanya upembuzi yakinifu na kupendekezwa upanuzi wa barabara njia nne, na kaya 20 zitalipwa fidia ili kutekeleza mradi huo. Anashangaa kwanini anapigwa majungu!

Amesema kama ni Ubunge 2025 wauchukue lakini wanabukoba wasikwamishane bila Sababu. Ili kuonesha msisitizo wa anachokisema, Naibu Waziri huyo aliamua kupiga magoti na kulia, kabla ya kunyanyuliwa na wananchi.

Amezidi kusema wanabukoba tulimpa ubunge miaka mitano basi tumwamini tuache afanye kazi, hawezi kuacha kujenga Stendi, Barabara na Soko kisa atakosa Ubunge 2025. Anasema bora atekeleze hiyo miradi ili akose ubunge 2025 lakini atakumbukwa na wanabukoba. Kama shida ni ujenzi wa Stendi nzuri Bukoba Mjini.

View attachment 2784184
Huyu naye kituko! Dume zima linalia ili iweje? Bukoba ipo, ilikuwepo na itakuwepo hata bila wewe /CCM.
Kwanza hakutaja majungu na nani analeta majungu...
 
Bukoba nimefanya kazi miaka 8. Alichosema Mbunge ni kweli. Ukitizama eneo litakalowekwa barabara njia nne lote limejaa vitega uchumi vya familia kongwe hapo mjini. Lazima wampige majungu. Na wengi ni CCM wenzie akowemo Mwenyekiti CCM Mkoa
 
huyo anayempiga majungu hadi analia mbele za watu ni nani? kwahiyo hata akitembelea wakwe zake wanajua alilia mbele za watu. huyo dogo vipi? wamekosekana watu wenye mshipa mgumu wasio lialia washike hilo jimbo?
Kwa tunaoifahamu Bukoba bora alie tu na atalia sana..

Bukoba inahitaji mtu asiyepepesa macho....ule mji kila mtu ana theories zaka anazisimamia...so ili mambo yaende ni either watu wafungwe au wanyongwe kabisa...

Nimependa walivyopanua barabara ya uganda kuwa njia nne...watu wamevunja nyumba wenyew
 
Bukoba nimefanya kazi miaka 8. Alichosema Mbunge ni kweli. Ukitizama eneo litakalowekwa barabara njia nne lote limejaa vitega uchumi vya familia kongwe hapo mjini. Lazima wampige majungu. Na wengi ni CCM wenzie akowemo Mwenyekiti CCM Mkoa
Lakin nyumba si wamevunja sasa...kwanza zile zilikuwa zimechoka sana....watachukia lakin watu wa bukoba wanataka maendeleo...barabara ya njia nne itaubadilisha completely mji wa Bukoba...
Na naskia ni kutoka Rwamishsnye hadi bandarini km 5.1...
Awamu ya kwanza inaishia nyangoye...na awamu ya pili ni hadi bandari...majengo mengi yatavunjwa lakin hakuna namma bukoba lazima ijengwe tu...
Mji mzr sana ule kibiashara lakini wapumbavu wachache wanauharibu
 
Ulitaka tusiseme ukweli? Waulize watu wa kagera, wanalielewa hilo.

Wewe humfahamu kuwa mwizi wa taifa yule, au umesahau kilichomtowa uwaziri ni nini?
Aliibia nini taifa? Kama ni pesa za escrow,hajawahi kuhusika kabisa, wahusika wa escrow wanajulikana ni kikwete na genge lake, ndio walibeba pesa kwenye magunia.
 
Back
Top Bottom