Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!

Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Wewe nawe ni mvaa suti nyeusi mahakamani au ni government official?? Mbona umeelewa kwamba hajavunja sheria?? Huoni wanavyomshangilia? Wamemuelewa hao, usiwasemee, waache na jambo lao tr 28 October.
 
Unachokiongea I used to think of it everday ..hawa jamaa wanamikakati sana..trust me mechi ya simba na yanga itakuwa wamenusa Lissu ataenda uwanjani wakaona waisogeze bila sababu za msingi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ni kweli hii inaweza kutokea sababu timu zote simba na yanga ziliwahi kupata majanga ya utawala huu, je unakumbuka yaliyowapata Mo Dewji na Manji? Naomba tusichukie kwenye hili maana mie nakumbushia matukio haya
 
Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Oyoo; jiandae shoo la bure taifa jmosi... mimi saa 12 nipo pale kuwahi nafasi ..mondi, jux, nandi, kondeboy ndani kwa nyumba.
 
Meko ana wakati mgumu sana uchaguzi huu. Hakutarajia kupata upinzani kama huu hata kidogo.
 
Lisu ni debe tupu hapa kariakoo watu walikuwa wanamshangaa kisha wanaendelea shughuli zao!

Jamaa anajitahidi apate attention ila ndio hivo hana mvuto
 
Lisu ni debe tupu hapa kariakoo watu walikuwa wanamshangaa kisha wanaendelea shughuli zao!

Jamaa anajitahidi apate attention ila ndio hivo hana mvuto

Hahahahahahahaha bwahahaha kwakwakwakwaaaa
 
Back
Top Bottom