LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Safi sana, kesho aende Mbagala kumsalimia ndugu yake.kwani kusimamishwa kupiga kampeni in kifungo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee bia yangu ww, unamdanganya nani ww? Tunakujua ww Ni CCM damuMimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaumiaje? Kwn mwanaume haruhusiwi kununua nyanya na Nazi?Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
AMEPOTOKA NINI TENA?Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Wewe nawe ni mvaa suti nyeusi mahakamani au ni government official?? Mbona umeelewa kwamba hajavunja sheria?? Huoni wanavyomshangilia? Wamemuelewa hao, usiwasemee, waache na jambo lao tr 28 October.Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Ni kweli hii inaweza kutokea sababu timu zote simba na yanga ziliwahi kupata majanga ya utawala huu, je unakumbuka yaliyowapata Mo Dewji na Manji? Naomba tusichukie kwenye hili maana mie nakumbushia matukio hayaUnachokiongea I used to think of it everday ..hawa jamaa wanamikakati sana..trust me mechi ya simba na yanga itakuwa wamenusa Lissu ataenda uwanjani wakaona waisogeze bila sababu za msingi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Oyoo; jiandae shoo la bure taifa jmosi... mimi saa 12 nipo pale kuwahi nafasi ..mondi, jux, nandi, kondeboy ndani kwa nyumba.Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Ahahahahahaahahha saaana yaani. Nimebakia kuchaka tu aiseeIla Lissu mkorofi sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwenda kariakoo ni upinzani?Meko ana wakati mgumu sana uchaguzi huu. Hakutarajia kupata upinzani kama huu hata kidogo.
Chama chako cha Wanywa Gongo umerudisha kadi?Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Wachawi utawajua tu!!Lisu ni debe tupu hapa kariakoo watu walikuwa wanamshangaa kisha wanaendelea shughuli zao!
Jamaa anajitahidi apate attention ila ndio hivo hana mvuto
Kwa siasa za Tanzania unataka afike umbali upi zaidi ya kugombea Urais.Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Kwenda kwani yeye amewaambia watu wamshangilieMimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Lisu ni debe tupu hapa kariakoo watu walikuwa wanamshangaa kisha wanaendelea shughuli zao!
Jamaa anajitahidi apate attention ila ndio hivo hana mvuto
Kesho kuna mtu wa wanyonge ataamkia Temeke Sterio kununua kabechi.Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali
Huyu hapa
View attachment 1592971
View attachment 1592973