Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ao Wazanzibar ndiyo usipime na wachawi alafu wana hila sana sehemu za kazi! Usiombe kufanya kazi na mpemba alafu akawa na chuki naww utaondoka we mwenyewe ofisin kwa kuacha kazi! Na hatari ao watu! Kule Pemba wanapango lao ilo ata ukienda kuomba kupata Urais unapata usije shangaa kusikia bi tozo ashawahi kwenda kule.Makamu wa Rais Dr. Mpango wakati akiwahutubia Mawaziri amedai kuwa kuna Mawaziri wanafanya Majungu na wengine wana tuhuma za Uchawi. This is serious. Kama Mawaziri wanafanyiana uchawi kweli tutegemee hawa hawa wataweza kutuletea maendeleo!!?
Imagine, kama Mawaziri wanafanyiana hivyo, vipi huko chini yao, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi .... mpaka kwenye mashina yao. No wonder kule kwenye Maria Spaces kuna mtu amedai Maza lazima kila baada ya wiki tatu anakwenda ZNZ kuombewa dua... labda kumuepusha na hawa wa Mainland!!
Kwani PHD ndio nn? Uchawi unafanywa na watu wote mpaka viongozi wa dini wanashiriki uchawi. Watu wasiokuwa na Elimu, Ndio uwaamini wasomo, lakini wasomi ni watu kama wewe, wanatamani na Wana roho kama wengineo, kwa iyo uchawi wanafanya kama kawaida. Na kuna wengineo wamepata elimu kichawi chawiUongo, P.Mpango (PhD) hawezi kuongea ujinga kama huo, usitake kumfananisha na kituko chenu.
Sasa wapemba na huo uchawi wao mbona kila siku urais wa Zenji wananyanganywa na uchawi wao haujawasaidia kitu?Ao Wazanzibar ndiyo usipime na wachawi alafu wana hila sana sehemu za kazi! Usiombe kufanya kazi na mpemba alafu akawa na chuki naww utaondoka we mwenyewe ofisin kwa kuacha kazi! Na hatari ao watu! Kule Pemba wanapango lao ilo ata ukienda kuomba kupata Urais unapata usije shangaa kusikia bi tozo ashawahi kwenda kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaaaaaaa!!!!!! this is very serious!!!Heri Mawaziri wachawi kuliko Rais fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake bila aibu tena kupitia TV ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2080519
Core business ya uchawi Ni kudidimiza Maisha ya watu. Sio kuondoa nyumba za tembe.huu uchawi utumike kutuondolea nyumba za tope Tanzania.
My lips are sealed.Heri Mawaziri wachawi kuliko Rais fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake bila aibu tena kupitia TV ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2080519
😃Lazima wapo hawezi kua analopoka tu usikute wamemtestMakamu wa Rais na yeye kaanza michambo
Ccm ndiyo nyumbani kwa wachawi na wacheza madogoriMakamu wa Rais Dr. Mpango wakati akiwahutubia Mawaziri amedai kuwa kuna Mawaziri wanafanya Majungu na wengine wana tuhuma za Uchawi. This is serious. Kama Mawaziri wanafanyiana uchawi kweli tutegemee hawa hawa wataweza kutuletea maendeleo?
Imagine, kama Mawaziri wanafanyiana hivyo, vipi huko chini yao, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi .... mpaka kwenye mashina yao. No wonder kule kwenye Maria Spaces kuna mtu amedai Maza lazima kila baada ya wiki tatu anakwenda ZNZ kuombewa dua... labda kumuepusha na hawa wa Mainland.
Hao ndiyo tuwategemee watuletee maendeleo!!!Mawaziri walozi na wakora