Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huo ndiyo utamaduni wa wana kigomaMakamu wa Rais na yeye kaanza michambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndiyo utamaduni wa wana kigomaMakamu wa Rais na yeye kaanza michambo
Huyo ikitokea akasimamishwa ghafla akasachiwa watakacho kutana nacho dunia itazimiaHapo Madelu lazima atakuwa kinara
Kweli wewe kijakazi wa mpangoUongo, P.Mpango (PhD) hawezi kuongea ujinga kama huo, usitake kumfananisha na kituko chenu.
Wala sio MATAGA hao ni msoga gang,Halafu MATAGA wala hawajali,they simply don't care.Wao kila kuitwapo leo wanapandisha nyuzi mpya kumsifia fisadi!🤡🤡🤡
Siku zote maskini ndiyo waumini wa kweli kwa MunguMtu anajiingiza kwenye maagano na viapo, kisa cheo na madaraka tu. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie mimi mjawako hofu ya kukujua na kuamini na kukuabudu wewe pekee
KwiiiiiishaaaaaaaaaYeye mwenyewe kafika hapo kwa sababu zile zile. Ccm wanashindana kubaki madarakani na sio kuleta maendeleo
he has learnt from the very best. Gwiji la michambo ndio Boss wake, what do you expect. Ni swala la muda tu ataanza ku quote mistari ya nyimbo za kina Khadija Kopa.Makamu wa Rais na yeye kaanza michamboat
Ccm bila uchawi hawawezi kuishiKwani PHD ndio nn? Uchawi unafanywa na watu wote mpaka viongozi wa dini wanashiriki uchawi. Watu wasiokuwa na Elimu, Ndio uwaamini wasomo, lakini wasomi ni watu kama wewe, wanatamani na Wana roho kama wengineo, kwa iyo uchawi wanafanya kama kawaida. Na kuna wengineo wamepata elimu kichawi chawi
Hawezi wakati tayari keshaweza ..... Labda naye wamemfanyia mavitu mpaka akaja na hiyo statement.Uongo, P.Mpango (PhD) hawezi kuongea ujinga kama huo, usitake kumfananisha na kituko chenu.
....wana mistari hatari hao, acha kabisa.ku quote mistari ya nyimbo za kina Khadija Kopa
Mbona Gwajima aliposema Ikulu kuna mapepo mlohamaki?
Hawa mbuzi wameachiwa wale lakini wasivimbiwe basi!. Naye (tembo) akila sijui shamba litaishia wapi.Mawaziri walozi na wakora