Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

hahahahaha Bawacha mwaka huu mtakuwa vicha kila aliye ona ile clip amesikia wazi kabisa baada ya makamu wa Rais kusema Rais anakupa pole sana na Lissu akasema mwambie Rais nashukuru na nina watakia kila la kheri kwenye kazi,
Lisu alikuwa hasali sasa hivi anasali sana tena sana anajua kushukuru
 
Kilucyowapeleka Nairobi nini kama wao sio manesi wala madokta na kukaa miezi bila kupeleka walau documents za mgonjwa ubalozini .Hao walienda kula chakula cha mgonjwa yaani michango na ruzuku.Ni kama kumtuma MTU ampelekee pilau mgonjwa aliyelazwa halafu anaila.Mchungaji Msigwa ni waziri kivuli wa mambo ya nchi za nje hivi hajui taratibu za MTU kusafri nje ya nchi hadi ageuze Kenya sehemu ya kujipiga selfie yeye na waziri kivuli wa mambo ya Ndani godbless lema ambaye on waziri kivuli wa Ndani ambako mambo ya immigration huhusika naye hajui passport ukienda nchi nyingine unatakiwa ufanyaje na yeye godbless lema anaishia kujipiga selfie Nairobi!!! Hawa ni mawazir kivuli koko.
We jamaa inaonesha nimroho sana, mchoyo, alafu ni mtu uliye lelewa kwenye familia ya kimasikini... Alafu hyo tabia umefunzwa na wazazi wako huwezi mtu mzima ukazungumzia chakula... Yan kula kula inamaanisha chakula kwako ni kitu cha ajabu sana na cha thamani sana unaweza wanyima ata wageni..

Kwakweli nimesikitishwa sana mtu mzima kama wewe si ajabu unafamilia kwenye issue nzito kama hii ukazungumzia chakula... Mimi nimelelewa mazingira ya kutoona chakula kama ni kitu kikubwa sana ata kama mtu akila... Mtaani kwetu kula kwa jirani naye jirani kula kwetu ilikua kitu cha kawaida.... Ata kuombana mboga tuu...

Mi nakushauri tuu hiyo tabia usije ambukiza na watoto wako... Ndio nyie wenye afya kubwa na vitambi huku mkeo na watoto wakiugua utapiamlo... Tabia ya uchoyo uache... Yan kuzungumzia mtu kula ni jambo LA aibu sanaa
 
Kuna shida sana jamani. Asinge kwenda kumwangalia kungekuwa na maneno. Kaenda. Matusi Kwa jembe. Utadhani zile risasi zilivyatuliwa na jembe. Mkuu ndiye aliyekuwa wa kwanza kutoa pole... Bado tu tunamtuhumu
mchawi huwa ndo wa kwanza kufika msibani nj'omba...
ile tweet mfalme aliiandika kinafiki tu, (kwanza nina mashaka kama ni yeye kweli aliandika), huku akichekelea tu sababu alikuwa anajua kazi aliyoagiza watu wake wasiojulikana waifanye na alijua lissu hawezi toboza hata siku ya pili akiwa hai...
sasa Mungu si athumani wala si ngosha leo ni karibu miezi 3 imepita imepita na Lissu anapona...

aibu!
 
Swali, kwa nn Tundu lissu kashukuru badala ya kukataa hata mkono wa mama. Na kwa chance kama hiyo angemwambia mama watu waliomshambulia, Nashauri lissu asikomae na jazba serikali imsaidie arudi kwenye majukumu yake
 
Sawa ngoja tuone.... Lakini ukiingalia vizuri CHADEMA toka kuzaliwa kwake kukua hadi sasa.... Sidhani kama kuna mtu anayefaa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA zaidi ya MBOWE....
LABDA LISU ANGALAU ANAELEWEKA... TOFAUTI NA HAPO HAKUNA
According to Wewe lakini
 
Mara nyingi akina mama wana roho ya utu; hongera mama yetu umedhihirisha
Mama anakizazi na anaujua uchungu na maumivu ya kumkuza mtoto hadi kufikia hatua aliyo fikia lissu kwa mwanamke yeyote aliye vuja damu lazima aumie kwa kila unyama na ukatili unao fanywa na wataka madaraka kwa pupa hasa kwa watu wasio na hatia kabisa wenye tuhuma za kutengeneza. Mungu awalaani wote walio shiriki kwa namna yeyote katika hili.
 
Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.

Yaani huyu balozi wetu Dr. Pindi Chana, she used to be a very confident lady, sijui confidence yake imepotelea wapi hadi kushindwa kumtembelea Lissu siku zote hizi, lazima Balozi ajisikie aibu, yeye yuko Nairobi kumtembelea Mtanzania, Mbunge, Rais wake wa TLS (Pindi ni Lawyer), Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ni mpaka VP aje ndipo na yeye aende kumuona Lissu!.

All and all, better late than never.

Wamefanya uungwana mkubwa.

Paskali.
Hivi paskali unaweza kwenda tembelea mtu ambaye bosi wako kamwita msaliti! Pindi asingeweza kwenda! Unakumbuka wana kamati ya walipotaka kumtembelea mwanakamati mwenzao lema mukulu alitamkaje?
 
Niliwahi kusema na narudia tena.... Samia Suluhu is a real mother... she has really earned my heart!!!!
 
Yani ww lijamaa huwa nikionaga komentzako tu .nasema hili lishetani tena hilo .Mungu anisamehe kama huwa nakuhukum kukuona kama shetani kama kweli ww nibinadam mwenzangu.
Hilo ni li KAA tena lile Kongwe. .achana nalo
 
Back
Top Bottom