Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Kwa Samia, ile ni ibada kwake, kumuona mgonjwa. Mbona zetu frustration zinabubujika kwa shukrani kwake mtukufu
 
Wadau
Tundu Lissu leo tarehe 28/11/2017 amemshukuru sana JPM kwa salaam alizomtumia za kumtakia kila la kheri kupitia kwa VP Samia Suluhu.
Ukweli CCM imedhihirisha kuwa kila siku inataliwa na upendo mkubwa bila kujali itikadi za kisiasa.
Source: Habari Leo
1) Ulimuona Mh. Rais wakati akimtuma Mama Samia??
2) Una uhakika gani ile kauli ya "Mwambie Rais Nashukuru" ilikua ni shukrani kwa ajili ya Salaam na sio kitu kingine??
 
Mimi ni Mkristo ila tumezidi kwa Roho mbaya na kudhuru .. Waisilamu Swafi wana utu na wanachukia sana kumhudumu mtu..wanapenda haki na wanathamini sana wengine.. Nilikuwa Pemba nilijifunza mengi sana..
Uko sahihi Mkuu. Mimi nimejifunza mengi sana kwa jamaa wa visiwani hata hawa wa Pwani
 
Kuna siku itafika zamu yako utatwangwa na huyo unayemuabud na kumsujudia.Ajili zako wakati mwingine uwe unaangalia utu.Udiwani mwisho kaburini baada ya hapo kuna maswali na majibu Bungeni.

Eneza Upendo,na amani si chuki na vita.Kajifunze kwa Bashe na Nape
Nyie mmeshatwangwa na kagalagazwa sasa mmebaki kuweweseka na huyo dada wenu wa mtandaoni anayeeneza chuki na uzushi ili ajikimu. Ni vyema kujitafakari na sio kuendelea kuzungusha mikono hewani.
 
Wadau
Tundu Lissu leo tarehe 28/11/2017 amemshukuru sana JPM kwa salaam alizomtumia za kumtakia kila la kheri kupitia kwa VP Samia Suluhu.
Ukweli CCM imedhihirisha kuwa kila siku inataliwa na upendo mkubwa bila kujali itikadi za kisiasa.
Source: Habari Leo
"Sisi ndio sisi wengine mafisi tunauma huku tunapoza"
 
Hakutakuwa na sababu ya kurudi kwenye sanduku la kura....
Anaweza in other way round! Anamlazimisha ajiuzuru, na mchezo unaishia hapo labda mama adindishe!!

Akijiuzuru, katiba inampa mamlaka ya kumteua mtu mwingine ingawaje pia atapaswa athibitishwe na bunge!!
Now naamini abdallah possi hakujiuzuru kwa kupenda
 
Wadau
Tundu Lissu leo tarehe 28/11/2017 amemshukuru sana JPM kwa salaam alizomtumia za kumtakia kila la kheri kupitia kwa VP Samia Suluhu.
Ukweli CCM imedhihirisha kuwa kila siku inataliwa na upendo mkubwa bila kujali itikadi za kisiasa.
Source: Habari Leo
"Inataliwa na upendo" umeandika lugha gani hapo we mjomba mjomba?
 
Nyie mmeshatwangwa na kagalagazwa sasa mmebaki kuweweseka na huyo dada wenu wa mtandaoni anayeeneza chuki na uzushi ili ajikimu. Ni vyema kujitafakari na sio kuendelea kuzungusha mikono hewani.
Eti Magufuli hakwenda Kenya kwa sababu aliogopa kuzomewa?
 
Na hapo hapo amemshukuru sana kupitia Mama Samia. Amemuomba amfikishie Mh. Rais asante zake za dhati. Nyie makarai endeleeni kuuguza maumivu ya kata moja na kumsikiliza dada yenu Mange.

Kaka habari za jioni, naona unaambaambaa kwenye kona za chaki. Makarai wanakuambiaje leo?
 
Haya ni maneno ya shujaa aliye lala kitandani km chache kutoka kasarani stadium kenya.tindu antipas lisu.nisauti ya kinyonge kukosa matumaini.chadema kwa kweli sijuii ni semaje! Eti nichama kinachi jianda kuchika madaraaka thubutu.kwa kulia Lia hivyo hata mwenyekiti wa Kijiji itakuwa ndoto.
 
Haya ni maneno ya shujaa aliye lala kitandani km chache kutoka kasarani stadium kenya.tindu antipas lisu.nisauti ya kinyonge kukosa matumaini.chadema kwa kweli sijuii ni semaje! Eti nichama kinachi jianda kuchika madaraaka thubutu.kwa kulia Lia hivyo hata mwenyekiti wa Kijiji itakuwa ndoto.
Umeanza vizuri mwishoni umeharibu
 
Back
Top Bottom