Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Wadau
Tundu Lissu leo tarehe 28/11/2017 amemshukuru sana JPM kwa salaam alizomtumia za kumtakia kila la kheri kupitia kwa VP Samia Suluhu.
Ukweli CCM imedhihirisha kuwa kila siku inataliwa na upendo mkubwa bila kujali itikadi za kisiasa.
Source: Habari Leo
 
Fiksi hizo sababu pale Nairobi anamwakilishi wake bila kusahau Waziri wa Mambo ya Nje siku zote hizo kwanini asitume salamu?
 
Yah inawezekana hizi ndizo personal problems, hawezi kukutana na mtu anayemtuhumu.
Real...
Samia nafsi itakuwa ilimsuta kabisa akasema haata, lazima akamuone!
Angerudi lazima ingeleta picha mbaya!
 
Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.

Yaani huyu balozi wetu Dr. Pindi Chana, she used to be a very confident lady, sijui confidence yake imepotelea wapi hadi kushindwa kumtembelea Lissu siku zote hizi, lazima Balozi ajisikie aibu, yeye yuko Nairobi kumtembelea Mtanzania, Mbunge, Rais wake wa TLS (Pindi ni Lawyer), Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ni mpaka VP aje ndipo na yeye aende kumuona Lissu!.

All and all, better late than never.

Wamefanya uungwana mkubwa.

Paskali.
Ningekuwa Lissu nisinge shake hands na Pindi kabisa,na bila kupepesa macho ningemuuliza 'where have you been?'.
 
Kuna shida sana jamani. Asinge kwenda kumwangalia kungekuwa na maneno. Kaenda. Matusi Kwa jembe. Utadhani zile risasi zilivyatuliwa na jembe. Mkuu ndiye aliyekuwa wa kwanza kutoa pole... Bado tu tunamtuhumu
 
Tokea alhamis ikulu ilitoa press release ilijulikana yeye ndiye angehudhuria ratiba imebadilika kwa tweet yake ya leo usiku.
Baada ya Raisi kupewa information ya kuwa hatapewa mapokezi mazuri na kuna watu wamepangwa kumdhalilisha, na baada serekali ya kenya kushindwa kuahidi kuhakikisha maandalizu stahiki, na pia baada ya kujulikana kuwa kuna baadhi ya wanasiasa wa kenya wanaomuunga mkono Uhuru, wanamipango ya kumtuukuza Lowassa ili hali wamuudhi Raisi Magufuli.

Hizo na sababu nyingine za kiintelijensia zimesababisha Raisi wetu kuahirisha safari yake.

Hata hotuba ya Uhuru leo na hiyo order aliyoitoa ina chokochoko za kisiasa, kwani wanajua tanzania haita ruhusu watu wa njee wawe na haki sawa na watanzania, was not yao ni Ardhi.
 
Sio watanzania wote bali hayo makarai tu. Ndio maana yanatwangwa kwenye uchaguzi kwa sababu yanapenda propaganda potofu za da'Mange. Na yataendelea kugalagazwa chaguzi zijazo kama hayatajitafakari kwa kina.

Kuna siku itafika zamu yako utatwangwa na huyo unayemuabud na kumsujudia.Ajili zako wakati mwingine uwe unaangalia utu.Udiwani mwisho kaburini baada ya hapo kuna maswali na majibu Bungeni.

Eneza Upendo,na amani si chuki na vita.Kajifunze kwa Bashe na Nape
 
Mgombeaa mwenza yaani makamu wa rais ni habari nyingine hawezi kutikishwa
 
Back
Top Bottom