Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Mimi mkuu fuatilia my post backWe lazima utakuwa msaidizi wa Dr. Shika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mkuu fuatilia my post backWe lazima utakuwa msaidizi wa Dr. Shika
Mkuu heshima kwako. .Ahahaha naona kile kipara Leo kitakwanguliwa chini mithili ya nguruwe pori akifakamia mihogo shambani..
Nawaza Tu lakini
Mkuu tindu antipas lissu ni mwenyekiti wangu ajaye.....Bila hivyoLakini pia kumbuka "msalimie rais, mwambie nashukuru".... Ni kauli fikirishi pia
Rudi shule kwanza,Haya ni maneno ya shujaa aliye lala kitandani km chache kutoka kasarani stadium kenya.tindu antipas lisu.nisauti ya kinyonge kukosa matumaini.chadema kwa kweli sijuii ni semaje! Eti nichama kinachi jianda kuchika madaraaka thubutu.kwa kulia Lia hivyo hata mwenyekiti wa Kijiji itakuwa ndoto.
We sio bureHaya ni maneno ya shujaa aliye lala kitandani km chache kutoka kasarani stadium kenya.tindu antipas lisu.nisauti ya kinyonge kukosa matumaini.chadema kwa kweli sijuii ni semaje! Eti nichama kinachi jianda kuchika madaraaka thubutu.kwa kulia Lia hivyo hata mwenyekiti wa Kijiji itakuwa ndoto.
Haya ni maneno ya shujaa aliye lala kitandani km chache kutoka kasarani stadium kenya.tindu antipas lisu.nisauti ya kinyonge kukosa matumaini.chadema kwa kweli sijuii ni semaje! Eti nichama kinachi jianda kuchika madaraaka thubutu.kwa kulia Lia hivyo hata mwenyekiti wa Kijiji itakuwa ndoto.
Wapinzani tunaroho ngumu tumekosa kiongoziii...huwezi chukuwa nchi ambayo watu wametawala kwa miaka 50 kirahisi rahisi hivyo..Kwani aliambiwa rais kamsalimia hadi arudishe majibu?
Maskini mama Samia anajitahidi lakini ndio hivyo tena hajatoka penye ziwa zone
Pindi Chana ni combination baba Singasinga na mama mheheIna maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Shayo mpuuzi sijapata ona katika miongo yangu kadhaaWapinzani tunaroho ngumu tumekosa kiongoziii...huwezi chukuwa nchi ambayo watu wametawala kwa miaka 50 kirahisi rahisi hivyo..
Kiluchowapeleka Nairobi nini kama wao sio manesi wala madokta na kukaa miezi bila kupeleka walau documents za mgonjwa ubalozini .Hao walienda kula chakula cha mgonjwa yaani michango na ruzuku.Ni kama kumtuma MTU ampelekee pilau mgonjwa aliyelazwa halafu anaila.Mchungaji Msigwa ni waziri kivuli wa mambo ya nchi za nje hivi hajui taratibu za MTU kusafri nje ya nchi hadi ageuze Kenya sehemu ya kujipiga selfie yeye na waziri kivuli wa mambo ya Ndani godbless lema ambaye on waziri kivuli wa Ndani ambako mambo ya immigration huhusika naye hajui passport ukienda nchi nyingine unatakiwa ufanyaje na yeye godbless lema anaishia kujipiga selfie Nairobi!!! Hawa ni mawazir kivuli koko.Wamerudi wamenenepa.unataka kusema hawa ulowataja wananjaa yachakula kule ndo walikuwa wananakula vizuri .watu walikuwa wanamuuguza nduguyetu kapigwa marisasi kibao .ww unaropoka eti wamerudi wamenenepa .
Hivi wakiambiwa watu wenye akilitimamu watoke mbele naww utatoka ?
Sawa ngoja tuone.... Lakini ukiingalia vizuri CHADEMA toka kuzaliwa kwake kukua hadi sasa.... Sidhani kama kuna mtu anayefaa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA zaidi ya MBOWE....Mkuu tindu antipas lissu ni mwenyekiti wangu ajaye.....Bila hivyo
Yeye kamshukuru Mh..sasa unajua ka mshukuru kwa lipi?Na hapo hapo amemshukuru sana kupitia Mama Samia. Amemuomba amfikishie Mh. Rais asante zake za dhati. Nyie makarai endeleeni kuuguza maumivu ya kata moja na kumsikiliza dada yenu Mange.
hahahahaha Bawacha mwaka huu mtakuwa vicha kila aliye ona ile clip amesikia wazi kabisa baada ya makamu wa Rais kusema Rais anakupa pole sana na Lissu akasema mwambie Rais nashukuru na nina watakia kila la kheri kwenye kazi,Hapana ila Lissu alimwambia Samia 'msalimie Rais mwambie nashukuru sana', wenye akili tu ndio wataelewa Lissu alimaanisha nini.
..Kuna hadithi moja nilisoma hapo zamani. Kulikuwa na daraja moja sehemu fulani, ambalo Mtu huvuka akielekea Hospitalini. Pale darajani kulikuwa na JINI/JITU ambalo LINAZUIA watu kuvuka. Kulikuwa na kengele mwisho wa Daraja ambayo ililia kama Mtu Akikanyaga hata ncha ya daraja kisha Lijitu linakwambia: RUDI ULIKOTOKA. Ilitokea wakati fulani MAMA MMOJA alitaka kumpelekea Mgonjwa wake chakula Hospitalini. Akafikiria NAMNA ya KUVUKA Daraja. Basi, akakanyaga ncha ya daraja akielekea/akiangalia anakotoka. Jitu liliposikia kengele likamwamuru: RUDI ULIKOTOKA. Basi YULE AMA "akarudi", kumbe akavuka. Akaenda kumwona Mgonjwa....ibada njema kutembelea wagonjwa...lakini vipi kama kusingekuwa na sherehe za kuapishwa Uhuru?