Ninacho shangaaa sijawahi hata siku moja kumsikia kuliongelea swala la lissu hata kinafiki hasa ukizingatia ni kiongozi mwenzie wa wananchi na hiyo inashibisha zaid hisia za watu wengi. Kwa hakika huyu mtu si mtu mwema kwetu.Yule kichaa tuliye mpa rungu hata mtwanga kweli?
Kweli swali zuri[emoji121] [emoji121] [emoji121]Hivi balozi huyo ndiyo Mara yake ya kwanza kwenda hapo kumtembelea lissu!
Ova
Ila kenyata asingeapishwa wasingeenda kwa lisu, wameenda kuficha aibu tu maana wangerud bila kumjulia hali ingekua story nyingine.
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.
View attachment 639832
View attachment 639833
Da Mage ni naniNgoja nimskilize Kamanda Mbowe atasema nn kuhusu hii ishu.....
Da Mage hajapost Inst bado?
Mwanamke fulani hivi anayeishi mtandaoni.Da Mage ni nani
Unaendeleza tena upumbavu uleule uloandika kule . nijibu swalilangu .Wakiambiwa watu wenye akili timamu watoke mbele nawewe utatoka ???Kiluchowapeleka Nairobi nini kama wao sio manesi wala madokta na kukaa miezi bila kupeleka walau documents za mgonjwa ubalozini .Hao walienda kula chakula cha mgonjwa yaani michango na ruzuku.Ni kama kumtuma MTU ampelekee pilau mgonjwa aliyelazwa halafu anaila.Mchungaji Msigwa ni waziri kivuli wa mambo ya nchi za nje hivi hajui taratibu za MTU kusafri nje ya nchi hadi ageuze Kenya sehemu ya kujipiga selfie yeye na waziri kivuli wa mambo ya Ndani godbless lema ambaye on waziri kivuli wa Ndani ambako mambo ya immigration huhusika naye hajui passport ukienda nchi nyingine unatakiwa ufanyaje na yeye godbless lema anaishia kujipiga selfie Nairobi!!! Hawa ni mawazir kivuli koko.
Kazi gani sasa .kataja aina yakazi ?? Ww lijamaa ,lishetani unamatatizo sana .hahahahaha Bawacha mwaka huu mtakuwa vicha kila aliye ona ile clip amesikia wazi kabisa baada ya makamu wa Rais kusema Rais anakupa pole sana na Lissu akasema mwambie Rais nashukuru na nina watakia kila la kheri kwenye kazi,
Mkuu lijingahilo achana nalo.We jamaa inaonesha nimroho sana, mchoyo, alafu ni mtu uliye lelewa kwenye familia ya kimasikini... Alafu hyo tabia umefunzwa na wazazi wako huwezi mtu mzima ukazungumzia chakula... Yan kula kula inamaanisha chakula kwako ni kitu cha ajabu sana na cha thamani sana unaweza wanyima ata wageni..
Kwakweli nimesikitishwa sana mtu mzima kama wewe si ajabu unafamilia kwenye issue nzito kama hii ukazungumzia chakula... Mimi nimelelewa mazingira ya kutoona chakula kama ni kitu kikubwa sana ata kama mtu akila... Mtaani kwetu kula kwa jirani naye jirani kula kwetu ilikua kitu cha kawaida.... Ata kuombana mboga tuu...
Mi nakushauri tuu hiyo tabia usije ambukiza na watoto wako... Ndio nyie wenye afya kubwa na vitambi huku mkeo na watoto wakiugua utapiamlo... Tabia ya uchoyo uache... Yan kuzungumzia mtu kula ni jambo LA aibu sanaa
Dah....hili halihitaji hata diploma...[emoji13] [emoji13] [emoji87]Atume watu wampige risasi halafu atume tena wa kumsalimia, never, huyo lazima atakuwa shetani.
Hakika hii tabia ni mbayaaMkuu lijingahilo achana nalo.
waislam wanahuruma na wanahekma sana. mzee wa ntwara na huyu jamaa yangu duuh pasua kichwa.Ahsante mama samia. A great lady. Very intelligent and human.
Mimi ni Mkristo ila tumezidi kwa Roho mbaya na kudhuru .. Waisilamu Swafi wana utu na wanachukia sana kumhudumu mtu..wanapenda haki na wanathamini sana wengine.. Nilikuwa Pemba nilijifunza mengi sana..