Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

1.Shahidi muhimu aweza kuwa dereva.
2.shahidi mwingine aweza kuwa ni jirani au majirani.
3.shahidi mwingine yaweza kuwa aliyetoa camera za ulinzi.
Maelezo ya vipengele namba 2 na 3 yangesaidia wenye Mamlaka ya kiuchunguzi waweze kuwa na maelezo yenye kuweza kuijibu jamii.
Kama kuna ugumu,Vyombo vya ndani vishirikiane na vyombo vilivyobobea katika uchunguzi.
Mkuu,lazima tuwe na pa kuanzia- tunaanza na dreva kwa sababu yeye ndile alitekuwa na mhusika
 
Sure! ndio maana inakuwa rahisi kwa kiongozi kuamua kujaza ndugu zake kwenye sekta nyeti za kifedha za nchi kisha kujipangia matumizi kadri wanavyoona wao inafaa.
Ndo shida
 

Attachments

  • Screenshot_20200518_071225.jpg
    Screenshot_20200518_071225.jpg
    78.1 KB · Views: 2
Sure! ndio maana inakuwa rahisi kwa kiongozi kuamua kujaza ndugu zake kwenye sekta nyeti za kifedha za nchi kisha kujipangia matumizi kadri wanavyoona wao inafaa.
Mkuu- mwekahazina wa kamati yako ya harusi alikuwa nani?
 
Huyu mama kwenye kampeni kasema askari wetu hawawezi kupiga risasi 16 ni 4 tu.....

Ina maana kulikua na maaskari watatu wote wakafyatua risasi kwa mujibu wa maelekezo lkn kwa bahati mbaya mmoja wao akafyatua risasi nne?......... HII NI SERIKALI YA KISHETANI
 
Huyu mama kwenye kampeni kasema askari wetu hawawezi kupiga risasi 16 ni 4 tu.....

Ina maana kulikua na maaskari watatu wote wakafyatua risasi kwa mujibu wa maelekezo lkn kwa bahati mbaya mmoja wao akafyatua risasi nne?......... HII NI SERIKALI YA KISHETANI
Mleteni dereva.
 
Huyu mama kwenye kampeni kasema askari wetu hawawezi kupiga risasi 16 ni 4 tu.....

Ina maana kulikua na maaskari watatu wote wakafyatua risasi kwa mujibu wa maelekezo lkn kwa bahati mbaya mmoja wao akafyatua risasi nne?......... HII NI SERIKALI YA KISHETANI
16 ukigawa kwa 4 jibu ni 4. Je washambuliaji walikuwa wa4?
 
Then you gate enough time to learn&think before bringing your nonsensical ideas here.
Nyinyi ndio mnasemwa na Lissu hamjui kiingereza, akili huna na kwa sababu hiyo hata kufikiri ni shida= Pole. Tunabaki pale pale dreva wa Lissu ndiye shahidi anaweza kusaidia kujua nini kilitokea na siyo msukule kama wewe ambaye ni tegemezi kama kasuku- unaropoka unayoyasikia bila kutumia akili zako ulizopewa bure na Mungu wako
 
Mleteni dereva.
Sawa sawa mkuu.....Omba tu yasikukute maana maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama wote ni mwendo uleule waulize kina nape, kinana, makamba, mangula na membe wanajua hatari ya udikteta
 
Huyu mama nilikuwa nikimuona mwenye busara na huruma sana lakini kumbe ni mnafik mkubwa tu
 
Back
Top Bottom