Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,196
- 6,367
You should shut up.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,lazima tuwe na pa kuanzia- tunaanza na dreva kwa sababu yeye ndile alitekuwa na mhusika1.Shahidi muhimu aweza kuwa dereva.
2.shahidi mwingine aweza kuwa ni jirani au majirani.
3.shahidi mwingine yaweza kuwa aliyetoa camera za ulinzi.
Maelezo ya vipengele namba 2 na 3 yangesaidia wenye Mamlaka ya kiuchunguzi waweze kuwa na maelezo yenye kuweza kuijibu jamii.
Kama kuna ugumu,Vyombo vya ndani vishirikiane na vyombo vilivyobobea katika uchunguzi.
Then?You should shut up.
Ndo shidaSure! ndio maana inakuwa rahisi kwa kiongozi kuamua kujaza ndugu zake kwenye sekta nyeti za kifedha za nchi kisha kujipangia matumizi kadri wanavyoona wao inafaa.
Mkuu- mwekahazina wa kamati yako ya harusi alikuwa nani?Sure! ndio maana inakuwa rahisi kwa kiongozi kuamua kujaza ndugu zake kwenye sekta nyeti za kifedha za nchi kisha kujipangia matumizi kadri wanavyoona wao inafaa.
Mkuu huyu alikuwa mbaguzi- kwa hiyo hamna cha kujadili hapo- ni kama kujadili muungo na mzushi kama LissuNdo shida
Mkuu unataka kujifunzia lugha za kihuni kwangu na kwenye Jf siyo?Wewe kama una akili timamu huwezi uka buy hiyo reason labda kama na wewe dish limeyumba.
😀😀😀Mkuu- mwekahazina wa kamati yako ya harusi alikuwa nani?
Mkuu umeona ee- ulimweka mtu uliyekuwa unamjua vizuri na akikuzengua unaweza kumkoa hahahhhhh
Lisu kawashikaMkuu huyu alikuwa mbaguzi- kwa hiyo hamna cha kujadili hapo- ni kama kujadili muungo na mzushi kama Lissu
Wakiweza kujitetea najiunga na maccm fasta
Pa kuanzia ni walinzi na CCTV cameraMkuu,lazima tuwe na pa kuanzia- tunaanza na dreva kwa sababu yeye ndile alitekuwa na mhusika
Mleteni dereva.Huyu mama kwenye kampeni kasema askari wetu hawawezi kupiga risasi 16 ni 4 tu.....
Ina maana kulikua na maaskari watatu wote wakafyatua risasi kwa mujibu wa maelekezo lkn kwa bahati mbaya mmoja wao akafyatua risasi nne?......... HII NI SERIKALI YA KISHETANI
16 ukigawa kwa 4 jibu ni 4. Je washambuliaji walikuwa wa4?Huyu mama kwenye kampeni kasema askari wetu hawawezi kupiga risasi 16 ni 4 tu.....
Ina maana kulikua na maaskari watatu wote wakafyatua risasi kwa mujibu wa maelekezo lkn kwa bahati mbaya mmoja wao akafyatua risasi nne?......... HII NI SERIKALI YA KISHETANI
Then?
Nyinyi ndio mnasemwa na Lissu hamjui kiingereza, akili huna na kwa sababu hiyo hata kufikiri ni shida= Pole. Tunabaki pale pale dreva wa Lissu ndiye shahidi anaweza kusaidia kujua nini kilitokea na siyo msukule kama wewe ambaye ni tegemezi kama kasuku- unaropoka unayoyasikia bila kutumia akili zako ulizopewa bure na Mungu wakoThen you gate enough time to learn&think before bringing your nonsensical ideas here.
Htr sana mkuu .....hii serikali huwa haijifichi kabisa maovu yake16 ukigawa kwa 4 jibu ni 4. Je washambuliaji walikuwa wa4?
Sawa sawa mkuu.....Omba tu yasikukute maana maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama wote ni mwendo uleule waulize kina nape, kinana, makamba, mangula na membe wanajua hatari ya udiktetaMleteni dereva.