MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Na wala bunge halijui alipoBado lijamaa linadai eti serikali haijawahi kulijulia hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wala bunge halijui alipoBado lijamaa linadai eti serikali haijawahi kulijulia hali.
MATAGANasikia huko alienda kwa nauli yake mwenyewe. Aliamka tu asubui akaanza safari ya ubelgiji kumuona mzee wa MIGA.
Huyu mama kuna kila dalili aweza kuwa mchawiKumbe huu wote ulikua unafiki
Ni mchawi tu anaeweza kufanya kazi na yesu wa Chato.Huyu mama kuna kila dalili aweza kuwa mchawi
Usihukumu wenzakoMuuaji Jiwe atajiteteaje hapo????
how?CCM are bunch of liars who only knows to implement their plans with full of irregularities and illegalities.
Usihukumu wenzako
SO?Serikali ina husika ,hakuna mpinzani anae weza kuondoa Askari eneo linalo lindwa 24 HRS /hakuna mpinzani anae weza kunyofoa kumukimbu za Camera kwenye Nyumba ya Kalemani (Kiongozi).Milio ya Risasi Mchana kweupe kwa hawa Askari wetu asikamatwe hata Mtu mmoja mpaka leo !!!...
Mkuu serikali inadai shahidi muhimu ambaye ni dreva mmemkatalia- unasemaje kuhusu hilo?Utakuwa umenielewa Mkuu,hivyo tuache tuendelee kuinyooshea kidole Serikali katika hili kwa Sababu imeshindwa kuwajibika kwenye jambo ambalo lipo wazi kabisa.
Mkuu serikali inadai shahidi muhimu ambaye ni dreva mmemkatalia- unasemaje kuhusu hilo?
Anaweza hojiwa hata kwa simu wakitaka au wanaweza changiwa nauli kwenda kumhoji ulaya sio mbinguni unaenda asubui jioni unarudi.Mkuu serikali inadai shahidi muhimu ambaye ni dreva mmemkatalia- unasemaje kuhusu hilo?
Imejivua nguo,wanajuta kulifanya hili.Utakuwa umenielewa Mkuu,hivyo tuache tuendelee kuinyooshea kidole Serikali katika hili kwa Sababu imeshindwa kuwajibika kwenye jambo ambalo lipo wazi kabisa.
Huyo mama huenda alitumwa na meko kuangalia kama Lisu amedanja au ame survive ,
Mkuu- unamaana gani unaposema halina mantiki- ninadhani hujitendei haki- companion wa victim, aliyekuwepo wakati wa tukio, aliyeona kwa macho yake mwenyewe- asiwe muhimu kwa upelelezi!-Si bure mkuu utakuwa umelogwaHilo halina mantiki Mkuu ,kama ange fariki ktk tukio lile Uchunguzi usinge fanywa ?.