Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti na kina nani !?Hakika mama Samia Suluhu Hassan ni kiumbe aliyejawa na utu na huruma kwa watanzania.
Hii picha hapo chini inajionyesha kabisa kuwa yeye ni tofauti na wenzake.
Mungu akubariki mama yetu.View attachment 1200985
Uchawi imetamalaki kwenye bichwa lako,sio binadam ni kibwengu.Upuuzi mtupu.
Hakika kabisa kaka kwa hili tupo pamojaNaunga mkono hoja, huyu mama...
Basi tuu, kuna Uzi nilijaribu kumuelezea, hakuna maneno ya kutosha kutuelezea, na sii wengi wanaojua kuwa tuko hapa tulipo kwa sababu yake, asingekuwepo, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
PSiku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
Bado nipo airport nasubiri ujio wa lissu,ndege karibu zote zimetua,nasubiri labda ataingia na Rwandair
Tofauti na kina nani !?
Alafu eti wanasema hawajui Tundu Lisu yypo wapi daaaaah
Wanasahau kuwa mbele ya Mungu wote tuna haki sawaHakuna zuri unaloweza kufanya hata likafunika uovu mkubwa kama kuua, kuteka, kupoteza watu na kuteka.
Hakika hakina atendaye hayo au aungaye mkono hayo halafu asiwe ibilisi au wakala wake. Hata kama mtu huyu anakesha hekaluni au msikitini, hata kama kitanda chake ni madhabahu, ukiona mtu anayatenda hayo ujue ni shetani au ni mbeba roho ya shetani hata kama sura na umbile lake ni la kibinadamu.
Wanadamu wenye Roho ya Mungu ni hekima kujitenga na shetani na fahari zake, hata kama fahari hizo ni zenye kupendeza machoni.
Kumbukeni enyi wanadamu kuwa kuna kuanguka na kutenda dhambi ambako ni tofauti kabisa na kuuabudu na kuutumikia utawala wa shetani. Hata tukitenda dhambi, tukitubu na kuacha dhambi, tunapata msamaha wa dhambi na kutakaswa LAKINI hakuna msamaha kwao waishio na kuutumikia utawala wa shetani.
Upuuzi mtupu.Uchawi imetamalaki kwenye bichwa lako,sio binadam ni kibwengu.
Ambane nani huyo punguani?we nae unawabanaga sana makamanda,
Embu wape pumzi kidogo
Kwa kifupi linafiki!Lakini hilo lijamaa halina shukrani.
Umeuona moto wake eeeeh?Upuuzi mtupu.
Kila kitu.Kwa kifupi linafiki!
Unamkaanga mwenyewe.Umeuona moto wake eeeeh?
Ambane nani huyo punguani?
Kibwengu mtupuUpuuzi mtupu.
Huyo ni kati ya wale walio okotwa jalalani na akitukanwa kuwa yeye ni mapumbavu anachekelea ili mradi mkono uende kinywaniKibwengu mtupu