Hizo risasi angepigwa ngu-gay kwenye makazi yake Dom wangemu bebelea kumpelekea Muhimbili? Wangemfutia mshahara? Wangemfutia ubunge? Hapo alipo ameligarimu taifa bill 27 kwa ugonjwa usiojulikana.Aisee inatia uchungu sana lkn bado kuna baadhi ya miungu watu wanadai kuwa hawajui yupo wapi kisa hakuwaaga