Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
sio rahisi anastahili pongezi zake, labda kama una wivu!?
 
Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Issue Sio Upako.Issue ni Pesa
 
Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
  1. The armed robber takes your money from you with a gun in his hand:
  2. The pastor takes your money by brandishing a bible
BOTH ARE ROBBERS:BLELELE:
 
Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Jioni ya leo mbengo zitafongoka
 
Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Kwenye hayo makanisa kuna utakatishaji mkubwa mno wa fedha haramu ambazo zinapatikana kutokana na biashara haramu!!! Fanya kazi kwa bidii, kuwa na nidhamu kwenye matumizi, hakika utafanikiwa!
 
Kwenye hayo makanisa kuna utakatishaji mkubwa mno wa fedha haramu ambazo zinapatikana kutokana na biashara haramu!!! Fanya kazi kwa bidii, kuwa na nidhamu kwenye matumizi, hakika utafanikiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.

Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.

Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Babamentor wake/yake wa kiroho Prophet Eubert Angel ndio mshiriki mkuu kwenye sakata la GOLD MAFIA...na huyu dogo huwa anatimba sana Zimbabwe hapo!! So ask yourself...
 
Niambie nani unayemjua ambaye hakupona ila akasema amepona?
Wote wanaotoa ushuhuda mim siwajui, kwani huwa wanadai wametoka mbali huko hawajulikani. Sasa wewe sema nani kapona unayemjua? Au na wewe kama mimi hakuna unayemjua?
 
Ishu sio mamlaka kulala, connect dots tu: Mshkaji wake si unamjua( Achana na yule ya Zimb)? Mshkaji ambaye kila kwenye harakati janjajanja yupo kule serengeti, vita ya "Nyeupe", makontena, vita na wafanyabiashara, kupora magari na ishu kibao... enhe huyo huyo kipenzi cha waTanzania

Kiufupi watu washapewa baraka, nasema kila siku huwezi fanya uhuni na wazee wasikujue. Hamna kitu kama hicho.
 
Kwenye hayo makanisa kuna utakatishaji mkubwa mno wa fedha haramu ambazo zinapatikana kutokana na biashara haramu!!! Fanya kazi kwa bidii, kuwa na nidhamu kwenye matumizi, hakika utafanikiwa!
Nikifanikiwa nitautafuta upako hata wa kununua Nigeria
 
Back
Top Bottom