Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

Mkome. Nyie ndio mlikuwa mnawaambia wenzenu wanaosoma arts kuwa wanasoma masomo ya kidada. Sasahiv hao madada ndio wanaamua ninyi mlipwe kiasi gani ama msilipwe lini
 
Kijana acha kuwaongopea watu.

Ninakufahamu wewe ,mzee wako familia yako, chuo ulichosoma bagamoyo ,elimu yako, shule ulizohama nk.

Ndio maana Mpwayungu anawadharau sana.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]mzee raia tukiweka salary slip hapa mbona utakimbia

Imagine: 10% NSSF , 15% HESLB, arround 20.% PAYE, :

Chap tu 45% ya mshahara si yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…