Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mie nilikataa kusomea udaktari Mana nilikuwa nawaona hawakuwaga na maaajabu mno ya kipesaWatu wengi tulikuwa tunadhani udaktari ni kazi yenye malipo makubwa hasa tulipokuwa tunasoma A level na O level
Kitu ambacho kilifanya hadi kuwadharau watu waliokuwa wanasoma combinations za arts na biashara
Ila uhalisia tunakuja kuujua wakati tushachelewa
Hii ni kweli OLEVEL wale waliokuwa wanasoma Physics, chemistry walikuwa wanawaona wazembe watu wa arts na commerceWatu wengi tulikuwa tunadhani udaktari ni kazi yenye malipo makubwa hasa tulipokuwa tunasoma A level na O level
Kitu ambacho kilifanya hadi kuwadharau watu waliokuwa wanasoma combinations za arts na biashara
Ila uhalisia tunakuja kuujua wakati tushachelewa
Mbona huyu analipwa Hela nyingi sana? Ulizia wengine wanapata shilingi ngapi!!Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
🔹 Acha kujilizaKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Na hapo bills kibao za msingi analipiwa na serikali Hadi za Kwa waganga,,na mbaya zaidi elimu zao wengi wao ni hovyo then ndio wanatunga Sheria za kumuongoza Dr akiwa kwenye majukumu yake ya kiutumishi,,Ulimwengu Una Watu wana kaupuuzi Sana,,,na hauna la kufanya zaidi ya kupambana nawe upate tobo uingize umwage mambo ya Jipe,,,Ule Raha za ulimwengu huuKuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Wewe endelea na Ulinzi wako.Na sisi walinzi tunaolipwa 120,000/= tufanyaje......????
Ahueni wanapewa pia viposho na pia vi semina vya hapa na pale. Kinyume na hapo, tofauti yao na walimu ingekuwa ni ndogo sana.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Ela yote hiyo, wengine tunapambana tufuke huko ila mambo magumu, vikwazo kibao, mpaka tunahishi ushirikinaKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Ni kununulia tu magari ya kifahari, halafu baadaye wanayatumia magari hayo hayo kushantia watoto wa chuo. Hakuna kingine cha maana wanachofanyia.Hiyo Kodi Sasa utadhani wakataji wanafanyie Cha maana
Hawa mbuzi hawana kabisa faida kwenye hii nchi! Tena bora hata wale wa upinzani. Ila siyo hawa wa chama tawala. Halafu cha kushangaza sifa yao kuu ya kuwepo pale, eti ni kujua tu kusoma na kuandika!!Kuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Nani kakwambia TAMISEMI Kuna posho?Ahueni wanapewa pia viposho na pia vi semina vya hapa na pale. Kinyume na hapo, tofauti yao na walimu ingekuwa ni ndogo sana.
Basic niKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Basic ni 1,530,000 MkuuKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Ila watu mnapenda hela alooo 🤣. Kila mtu hela hela, tumekuwa kama vichaa kwa kutafuta hela hata kama tunapitia magumu beyond ubinaadam wetuMie nilikataa kusomea udaktari Mana nilikuwa nawaona hawakuwaga na maaajabu mno ya kipesa
Uzuri wa uwalimu na udaktari unaweza kupiga kazi za pembeni tuition na dispensary kama kuongeza kipato. Wenye uthubutu ndio hao wanaofikia kufungua shule zao na dispensary zaoAhueni wanapewa pia viposho na pia vi semina vya hapa na pale. Kinyume na hapo, tofauti yao na walimu ingekuwa ni ndogo sana.
Kuna x wangu ni daktari ule mkoa mpya jirani na Rukwa huko alikataa kuja Dar kufanya kazi hapa wakati yupo Singida. Ghafla naona jina lake huko uswekeni. Kwa pesa hiyo sijui anaishije bush huko.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Bro unaishi wapi?Kodi,umeme,maji,chakula havifiki laki nne
Hii Bado ni ndogo kwa MD,Basic ni
Basic ni 1,530,000 Mkuu
Umeshasema hiyo ni kwa Makadirio,kumbe huna uhakika kwa hiyo hoja yako tunaitupilia mbali.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?