Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.Amesema "miongoni mwa sababu" inamaanisha sio sababu pekee.
Maadali wapi bwana angekuwa na maadili angesema ukweli wa mambo. Ndoa zinashindika siku hizi kwa sababu uzinzi umetawala. Watu wanakuja kuoana wakati tayari walishaonja de libolo na mbususu kibaoDuh
Wewe waongelea kisayansi
Wenzio wnaa hofu ya MUNGU
Wanaongelea maadili
Waweza kusingiziwa unataka kubaka Watoto wako wa like au kuwalawiti wa kiume.
Na uking'ang'aniza ndoa ya hivyo utaishia jela.
Wengine mbona tumekuelewa vizuri tu? Level za understanding tunatofautiana.Vipi mkuu inaonekana comment yangu ipo very controversial,ninaifuta
Wanasayansi wa mchongo.wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na
Mnajitetea tena!! Hizo ni tafiti zimefanywa. Bisheni kwa tafiti basi. Humu tu si mnajitoaga ufahamu kujisifia huo ushetani sasa mwashangaa nini?Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.
Iko hivi,mwanaume hana asili ya kubomoa nyumba yake kama akitaka huo mchezo atautafuta kwa wanawake wa nje na hakosi wa kufanya nae.hizi tafiti za kufanywa na wanawake kuhusu wanaume obviously haziwezi kuwa sahihi kutokana na hawajui uanaume ulivyo.
Huo utafiti wa kishetani umekubaliana nao wala hukuwa na shaka nao kwakuwa unafit wishes zako. Ila huu hukubaliani nao🙆🙆🙆🙆Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
kiufupi ni kwamba, huyu mtoa tafiti ni mjinga na muongo. asifikiri anaongea na watoto hapa.Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.
Iko hivi,mwanaume hana asili ya kubomoa nyumba yake kama akitaka huo mchezo atautafuta kwa wanawake wa nje na hakosi wa kufanya nae.hizi tafiti za kufanywa na wanawake kuhusu wanaume obviously haziwezi kuwa sahihi kutokana na hawajui uanaume ulivyo.
Kwahio wewe kwako anal sex ni kitu cha kawaida? Suala hapa sio kisayansi wala nini hili suala kwenye jamii halikubaliki na pia kiimani ni tendo la laana.Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Mkuu hii ni debate we have a right to disagreeHuo utafiti wa kishetani umekubaliana nao wala hukuwa na shaka nao kwakuwa unafit wishes zako. Ila huu hukubaliani nao🙆🙆🙆🙆
Mkuu huu ni mjadala na sio lazima tukubaliane, hayo ndio mawazo yangu, tujadili facts nipo tayariKwahio wewe kwako anal sex ni kitu cha kawaida? Suala hapa sio kisayansi wala nini hili suala kwenye jamii halikubaliki na pia kiimani ni tendo la laana.
Wadada wakitaka kukinukisha na kuvunja ndoa hawatumii nguvu
Anatoa lalamiko tu ukweni "nalazimishwa kuingiliwa kinyume na maumbile"
Na ndoa inavunjwa chap
Kavurugwa huyoHUNA AKILI
Zile pampas za watu wazima kule famasi zimewekwa urembo ee
😂😂😂 Sababu ni ipi?Kweli kabisa wanawasingizia tuu wanaume. Sababu kuu inajulikana basi tuu tunajidai kuificha.
Nimemshangaa 🤣 JF ina watu aiseeMmmmmmhmn hivi wewe ni mzima na sawa sawa kabisa zimetimia kichwani mwako au zimetimuka kichwani?!
Sent using Jamii Forums mobile app
daah noma sana, sie wengine tuko so grumpy tunaweza kuua mtu bure, ndiyo maana ni mwendo wa kuselfika tundoa inavunjwa halafu anakwenda kutoa jicho kwa jamaa mwingine ili amshawishi kumweka ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kiumbe mwanamke.
Ah besty ata wewe wakuuliza....sii huo utam utam unaopata kwa tdh na huyo mwenye mihela😂😂😂 Sababu ni ipi?
Mwanaume hana asili ya kubomoa alipowekeza nguvu zake that's why mume anaweza kuzini nje ya ndoa ila akaheshimu nyumba yake mke hata amkorofishe vipi hukuti akijaribu kuionyesha hiyo hali,mwanamke akizini nje ya ndoa haraka sana ataonyesha mabadiliko,usichukulie akili za mwanamke ukazifananisha na za mwanaume.Mnajitetea tena!! Hizo ni tafiti zimefanywa. Bisheni kwa tafiti basi. Humu tu si mnajitoaga ufahamu kujisifia huo ushetani sasa mwashangaa nini?
Hamna asili ya kubomoa kumbe!!! Since when?🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mmekengeuka mkaiacha asili🤣🤣🤣🤣