Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Amesema "miongoni mwa sababu" inamaanisha sio sababu pekee.
Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.

Iko hivi,mwanaume hana asili ya kubomoa nyumba yake kama akitaka huo mchezo atautafuta kwa wanawake wa nje na hakosi wa kufanya nae.hizi tafiti za kufanywa na wanawake kuhusu wanaume obviously haziwezi kuwa sahihi kutokana na hawajui uanaume ulivyo.
 
Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.

Iko hivi,mwanaume hana asili ya kubomoa nyumba yake kama akitaka huo mchezo atautafuta kwa wanawake wa nje na hakosi wa kufanya nae.hizi tafiti za kufanywa na wanawake kuhusu wanaume obviously haziwezi kuwa sahihi kutokana na hawajui uanaume ulivyo.
Mnajitetea tena!! Hizo ni tafiti zimefanywa. Bisheni kwa tafiti basi. Humu tu si mnajitoaga ufahamu kujisifia huo ushetani sasa mwashangaa nini?

Hamna asili ya kubomoa kumbe!!! Since when?🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mmekengeuka mkaiacha asili🤣🤣🤣🤣
 
Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Huo utafiti wa kishetani umekubaliana nao wala hukuwa na shaka nao kwakuwa unafit wishes zako. Ila huu hukubaliani nao🙆🙆🙆🙆
 
Tukichukulia realty ni percent ndogo sana,ndogo mno ya wanaume walio ktk ndoa wanaothubutu kuomba huo ujinga kwa wake zao hata kama ni wanywa pombe mpaka wakapitiliza.

Iko hivi,mwanaume hana asili ya kubomoa nyumba yake kama akitaka huo mchezo atautafuta kwa wanawake wa nje na hakosi wa kufanya nae.hizi tafiti za kufanywa na wanawake kuhusu wanaume obviously haziwezi kuwa sahihi kutokana na hawajui uanaume ulivyo.
kiufupi ni kwamba, huyu mtoa tafiti ni mjinga na muongo. asifikiri anaongea na watoto hapa.
 
Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Kwahio wewe kwako anal sex ni kitu cha kawaida? Suala hapa sio kisayansi wala nini hili suala kwenye jamii halikubaliki na pia kiimani ni tendo la laana.
 
Huo utafiti wa kishetani umekubaliana nao wala hukuwa na shaka nao kwakuwa unafit wishes zako. Ila huu hukubaliani nao🙆🙆🙆🙆
Mkuu hii ni debate we have a right to disagree
 
Kwahio wewe kwako anal sex ni kitu cha kawaida? Suala hapa sio kisayansi wala nini hili suala kwenye jamii halikubaliki na pia kiimani ni tendo la laana.
Mkuu huu ni mjadala na sio lazima tukubaliane, hayo ndio mawazo yangu, tujadili facts nipo tayari
 
Huyu Joyce muongo mkubwa! Nafikiri na yeye Hana maadili kwa Nini uandike utumbo wa kudhalilisha watu wakati wanawake wa dar wanajulikana! Kesi za namna hiyo ni kidogo sana2 kwa wahuni wachache! Kwani yeye Hana baba au alitoka peponi? Kwa Nini Sasa aandike hivo? Rubbish...
 
Mnajitetea tena!! Hizo ni tafiti zimefanywa. Bisheni kwa tafiti basi. Humu tu si mnajitoaga ufahamu kujisifia huo ushetani sasa mwashangaa nini?

Hamna asili ya kubomoa kumbe!!! Since when?🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mmekengeuka mkaiacha asili🤣🤣🤣🤣
Mwanaume hana asili ya kubomoa alipowekeza nguvu zake that's why mume anaweza kuzini nje ya ndoa ila akaheshimu nyumba yake mke hata amkorofishe vipi hukuti akijaribu kuionyesha hiyo hali,mwanamke akizini nje ya ndoa haraka sana ataonyesha mabadiliko,usichukulie akili za mwanamke ukazifananisha na za mwanaume.

Wewe unaishi na mume?unao rafiki zako wenye waume?kama ndiyo ukimuangalia mumeo kwa akili zake hata kama mlevi anaweza leo akakwambia anataka akubomoe nyuma?wanawake mnapenda ku-share story hata mara moja kuna rafiki yako aliyewahi kukudokeza mumewe kutaka huo ushenzi ndani ya faragha zao?

Wanaume tunajiheshimu na tunaheshimu wale tunao-share nao maisha mimi leo ndani ya ndoa nina watoto watatu siwezi kumwambia mke wangu nataka mapenzi kwake kinyume na maumbile what a shame?kama hiyo ndo sababu kwa mujibu wa utafiti wenu kwanini hao wanaoombwa wasiwanyime hiko kitendo na wakabaki ndani ya nyumba zao kama wanavyowanyima tendo halali la ndoa still wakaishi humo humo ndani wakijitapa?

Mtasema mtalawitiwa kwa nguvu?wapi rahisi uume kuingia mbele au nyuma?obviously ni mbele sasa kama ni hivyo mbona mnanyima waume zenu tendo mbele mnaishi nao bado hamuogopi kubakwa ila issue ya kunajisiwa nyuma ambako siyo rahisi uume kuingia mnahama nyumba?bado alarm kichwani mwako haijalia tu?na ni Dar tu kumeonekana hili tatizo ambako 96% majority wanakimbizana na maisha yumkini tusiamini ni jamii KE kutaka kujionyesha nao wamo ktk nguvu za maisha?kwamba "bila wewe nitaishi tu as long as natoka asubuhi njiani napigiwa miluzi jioni narudi na cent mkobani usinibabaishe"

Ukiona mwanaume anakuomba mapenzi kinyume na maumbile hata kama umesoma vipi jua ameshakusoma kichwani akili huna na amekuona takataka na mwanaume akishachagua mke wa kulea watoto wake hawezi kumgeuza takataka (wapo wasiokuwa na maadili lakini ni 1% ktk 100%)
 
Huu utafiti ulifanywa kwa kwenda kuuliza wale wanaojipanga barabarani kwamba asilimia kubwa ya wateja wao wanataka mapenzi kwa njia gani huyo msoma matokeo kwa sababu ni “ FEMINIST” akageuza matokeo kuyafanya ya kiuanaharakati.

Kwamba baba zetu na babu zetu walikuwa hawayaoni makalio ya mama zetu na Bibi zetu wakayatamani?au wa siku hizi tu ndo wanajiona wameumbika sana!?au wao walikuwa wanakubali?ndo maana wao walidumu ktk ndoa?tupo na kizazi cha hovyo tu kinatapatapa kutafuta pa kuficha tabia zao chafu kinakuja na tafiti zisizo na kichwa wala miguu
 
Back
Top Bottom